mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
upepo wake utapita kama yule Boss la DP WorldMuwe mnafikiria na kucanya utafiti kabla hamjalaumu watu. Huyo sio Goodlove kama ambavyo mi sio muuza madafu wa Ikulu.
Jamaa alikuwa na ID yake alichofanya ni kubadilisha ID na kujiita jina la huyo jamaa sawa na mimi nilivyo badilisha ID yangu ya zamani na kupita na upepo wa muuza madafu wa ikulu.
So relax, huyu mwana JF mwenzetu tu. Alikuwa na ID yake ya zamani Christoherpaul sasa kaamua kuibadilisha to chief love akipita na upepo aa jamaa.
Atakua New York City huko anakula maishaIla tajiri wetu kapotea kweli.
Anajiita Ana hela, wenye hela hawaishi huko anakoishi yeyeWakuu salama!
Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.
Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.
Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.
Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.
Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?
MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?
Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.
NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.
Nawasilisha
Nawaza sana pengine vijana wa 2000 ndo mamods kwa sasaWakuu salama!
Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.
Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.
Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.
Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.
Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?
MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?
Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.
NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.
Nawasilisha
Simu yake ilidondoka bado hajanunua nyingne anajichanga akikaa sawa ataibuka hana bayaIla tajiri wetu kapotea kweli.
Kama ni Christopherpaul nilisha mu ignore zamani sanaMuwe mnafikiria na kucanya utafiti kabla hamjalaumu watu. Huyo sio Goodlove kama ambavyo mi sio muuza madafu wa Ikulu.
Jamaa alikuwa na ID yake alichofanya ni kubadilisha ID na kujiita jina la huyo jamaa sawa na mimi nilivyo badilisha ID yangu ya zamani na kupita na upepo wa muuza madafu wa ikulu.
So relax, huyu mwana JF mwenzetu tu. Alikuwa na ID yake ya zamani Christoherpaul sasa kaamua kuibadilisha to chief love akipita na upepo aa jamaa.
Katoroka milembe huyo tunamtafutaWakuu salama!
Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.
Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.
Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.
Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.
Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?
MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?
Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.
NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.
Nawasilisha
Sijakuelewa embu rudia tena kwa mwamdiko mzuri mkuu
NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.ππ¨ππΏWakuu salama!
Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.
Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.
Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.
Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.
Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?
MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?
Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.
NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.
Nawasilisha
Ndio mwenyewe huyoπ€‘π€‘mnampa promo nyie wenyewe