Je ni kabila gani wanaokamatia mauno namna hii???

Dah... Tumia akili bana... mauno ni uwezo... na uwezo ni mazoezi ....haijalishi ni mchaga au mzaramo au mzulu...binadamu wote ni sawa... [emoji13] [emoji13]
 
Mjini msingi kiuno,..?? mbona madansa wengi wako masiki na makapuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…