Hamjamboni wana jf, napenda kujua, je, ni kawaida 'lead acid battery' kupiga kelele kana kwamba inachemka wakati inachajiwa kwa solar panel? Elimu tafadhali
Kuna chumba cell zake hazko sawa....means damaged.. weka mkono if inapata moto kwa nje means no longevity...au inakula moto kupita uwezo wa betri lenyewe...
Hamjamboni wana jf, napenda kujua, je, ni kawaida 'lead acid battery' kupiga kelele kana kwamba inachemka wakati inachajiwa kwa solar panel? Elimu tafadhali