Je, ni kawaida kufanya mapenzi bila kufika kileleni au ni tatizo?

Mie mara ya mwisho jana usiku nimepiga show kama masaa ma4 hivi ila kukojoa ikashindikana kabsa.
 
Mkuu, nashindwa kukupa pole na wala ushauri wowote but tukubaliane kwamba hapo kwenye masaa 12 umetupiga
 
Exactly! Na mkijuluana namna ya kila mmoja kumpea mwenza wake mbona patamu sana hapo!

Maake ke anaweza akamwaga maji hadi akabaki anavaibreti
true dat! truth. Vibration ya hatari na unakumbatiwa kama umebanwa na vaisi kaka.
 
[emoji23][emoji23] Si wajua kaka macho hayanaga pazia.
Ila usijali kaka yanaishia hapahapa
Ukamfundishe shemejio awe vyema ule vyuma dada [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Hilo linaweza kuwa tatizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…