The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Mbona ni hatari sana hii mkuu, kwenye banks zenu uchwara huwa siweki pesa nyingi.
Benki Gani hiyo unaweka pesa zako isiyo na uchwara wa kufuata taratibu za AML na BoT kama regulator?
Kati ya hizo benki nimetaja hapo mojawapo ni ya kimataifa. Kikubwa kama pesa zako ni safi na maelezo yamenyooka hakuna sababu ya kuwa na hofu.