Habari zenu wanajamii forums? Mimi nataka kujuwa kitu kimoja kutoka kwenu nduguzanguni.
Kuna msemo ambao wazungu wanapenda kusema pale wasipo kuwa hawana uhakika na kitu. Mara nyingi husema "time will tell " wakiwa na maana mda utasema.
Sasa swali langu ni hivi je katika suala la ndoa mda unaweza kuwa kipimo cha upendo katika doa? Au mda sio kipimao kwenye ndoa hasa katika jamii za ki Africa kama sio katika jamii za watu weusi!
Je kama mda hautoshi kupima uimara wa ndoa ,ni kitu ngani kinafaa kupjma ubora wa ndoa?
Kuna msemo ambao wazungu wanapenda kusema pale wasipo kuwa hawana uhakika na kitu. Mara nyingi husema "time will tell " wakiwa na maana mda utasema.
Sasa swali langu ni hivi je katika suala la ndoa mda unaweza kuwa kipimo cha upendo katika doa? Au mda sio kipimao kwenye ndoa hasa katika jamii za ki Africa kama sio katika jamii za watu weusi!
Je kama mda hautoshi kupima uimara wa ndoa ,ni kitu ngani kinafaa kupjma ubora wa ndoa?