je ni kutofanya muda mrefu au vp?

je ni kutofanya muda mrefu au vp?

Richbest

Senior Member
Joined
May 23, 2011
Posts
101
Reaction score
24
habari wadau eti mwanamke kutoka uchafu mwingi na mzito kiasi wakati wa kuduu inasababishwa na nini?
 
Hebu funguka kidogo?
Kuna harufu mbaya yoyote inayoambatana na mtoko huo?

habari wadau eti mwanamke kutoka uchafu mwingi na mzito kiasi wakati wa kuduu inasababishwa na nini?
 
mmmmh mie sjawah kuona labda ndo style yake ya kunogewa, akifika peak anatoka hivo vitu au kama unahisi ugonjwa muwahi hospital.
 
Inategemea na mkao mara nyingi akikaa juu mkikojoa wote unaona unachuruzika mwingi hadi shuka zinarowa
 
Ajisafishe vizuri sio ajimwagie maji tuu ndio kamaliza,atie vidole ukeni kutoa huo uchafu...
 
yah!kukaa muda mrefu pia inasababisha hiyo kitu kwa mtt wa kike!
 
Wakati mwingne ni uchafu, wakati wa kuoga ingiza kidole ndani ya sehemu zako uhakikishe unazisafi kwa ndani vizuri
 
sidhani kama inahusiana na swala la kutokufanya mda mrefu,labda ungeelezea vizuri huo uchafu ukoje sababu mnapokuwa katika tendo la ndoa kama ulimuuanda mwanamke wako vzuri inafikia wakati hasa anapofika kileleni hutokwa na majimaji meupe na sometimes huwa mazito hiyo ni kitu cha kawaida.
 
asanteni wadau wote ila hainuki ila ni mazito tu nlikua na wasiwasi maana nliwahi kuskia kuwa binti akifanya mapenz na m2 mwingine ukija mwingine utakuta uchafu wa jamaa ndo nlikuwa namulika mwizi
 
sidhani kama inahusiana na swala la kutokufanya mda mrefu,labda ungeelezea vizuri huo uchafu ukoje sababu mnapokuwa katika tendo la ndoa kama ulimuuanda mwanamke wako vzuri inafikia wakati hasa anapofika kileleni hutokwa na majimaji meupe na sometimes huwa mazito hiyo ni kitu cha kawaida.

asante sana mkuu ni mazito hayanuki nadhan itakuwa kama ulivosema hapo juu ila vp eti kuna uhusiano wowote hali kama hyo au yoyote na yeye kushiriki na m2 ktk cku zilizopita na huo uchafu?
 
Back
Top Bottom