Je ni kwa kiasi gani?

Je ni kwa kiasi gani?

NITIKE NDOSI

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
153
Reaction score
86
1.Je ni kwa kiasi gani mwanaume aliyefiti[sexualy] akafanya per one match? yaan mara ngapi?
2.je ni kwa kiasi gani[percentage wise] mwanaume aliyefiti hushindwa kusababisha mimba?

naomba mnijuze wataalam
 
Hata kwa mara moja mwanaume anaweza kufanya mimba ilimrad huyo mschana yupo kwenye "polyferation phase" yani siku kumi na nne baada ya bleeding pia kama spam zako ni hai na nizakutosha kwa kufanya mimba ni lazima ziwe "5 ml".
 
Back
Top Bottom