Je, ni kwamba wananchi wameichoka Serikali au wamewachoka viongozi wa Serikali?

Je, ni kwamba wananchi wameichoka Serikali au wamewachoka viongozi wa Serikali?

Ngengemkenilomolomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
270
Reaction score
450
Wakuu,

Najiuliza hivi nu kwamba wananchi wamewachoka viongozi wa serikali au wameichoka serikali maana yanayotokea kwa sasa ningekuwa kaka Luka ningebubujikwa na machozi.

Yani imefikia kipindi viongozi wanapata majanga badala wananchi wasikitike wanafurahi na kutaka kujua wangapi wametangulia kwa baba kuandaa makao.

Wafanyakazi wa TRA walovamiwa na kupigwa mawe hakuna mwananchi aliyeonesha kusikitishwa zaidi walitamani hata waliorusha mawe wangechoma gari moto ili waliokuwamo wateketee.

Hiki kitu kinaonesha ni hasira kiasi gani wananchi walionayo dhidi ya watu wa Serikali.

Halafu hao hao viongozi wakirudi kwenye majimbo yao wanashinda kwa 99% sasa unajiuliza walichaguliwa na mizimu🤔

My take: Ningekuwa kiongozi wa serikali ningestaafu na kumrudia Mungu.
 
Kama mtu anaamua kukuteka na kukua, hata ndugu zako wasijue maiti yako iko wapi.
Mtu kama huyo apate tatizo watu wasifurahie?

Imeonekana ukiwa mpinzani ni kama vile wewe hustahili kuishi kwenye Nchi yako.

Haya yote yanaendekezwa na kiongozi mkuu kushindwa kusimamia Nchi. Hivyo hata hawa wahuni polisi wanatumia uhuni wao kulinda masilahi ya viongozi wao
 
Wana hasira na watu wasiojulikana, serikali ina puuza kukomesha watu wasiojulikana., halafu mbona yajayo yanafurahisha huu ni mwanzo watanzanua wamedhalilishwa sana na watu wasiojulikana
 
Hao wabunge unaosema hawajachaguliwa kwa 100% ila wizi dhuruma na uonevu ndio vimewapeleka bungeni

NB: Kuna mwenyekiti wa mtaa kigoma chama cha ACT hawakumuapisha hadi walipo mlazimisha kuchukua kadi ya fisiemu
 
Mi naamini mfumo wa uongozi kwenye hili Taifa ndo chanzo cha wananchi kufurahia mabaya yanapowapata viongozi na watumishi
Shida nyingine viongozi hawataki kutatua hiyo sintofaham badala yake wanatumia nguvu kubwa kubwa kuwafanya wananchi wasione kama kuna shida.

Serikali siku ikijua yenyewe ndo shida muda utakuwa umekwisha wa kurekebisha hizo dosari mwisho iache UBAGUZI.
 
Wananchi wameichoka CCM na Serikali yake, huu ndiyo ukweli na msema kweli mpenzi wa Mungu.
 
Wakuu,

Najiuliza hivi nu kwamba wananchi wamewachoka viongozi wa serikali au wameichoka serikali maana yanayotokea kwa sasa ningekuwa kaka Luka ningebubujikwa na machozi.

Yani imefikia kipindi viongozi wanapata majanga badala wananchi wasikitike wanafurahi na kutaka kujua wangapi wametangulia kwa baba kuandaa makao.

Wafanyakazi wa TRA walovamiwa na kupigwa mawe hakuna mwananchi aliyeonesha kusikitishwa zaidi walitamani hata waliorusha mawe wangechoma gari moto ili waliokuwamo wateketee.

Hiki kitu kinaonesha ni hasira kiasi gani wananchi walionayo dhidi ya watu wa Serikali.

Halafu hao hao viongozi wakirudi kwenye majimbo yao wanashinda kwa 99% sasa unajiuliza walichaguliwa na mizimu🤔

My take: Ningekuwa kiongozi wa serikali ningestaafu na kumrudia Mungu.
Jibu ni: Vyote!!
 
Kama mtu anaamua kukuteka na kukua, hata ndugu zako wasijue maiti yako iko wapi.
Mtu kama huyo apate tatizo watu wasifurahie?

Imeonekana ukiwa mpinzani ni kama vile wewe hustahili kuishi kwenye Nchi yako.

Haya yote yanaendekezwa na kiongozi mkuu kushindwa kusimamia Nchi. Hivyo hata hawa wahuni polisi wanatumia uhuni wao kulinda masilahi ya viongozi wao
Ni kuchochea hasira kwa wananchi yaani mtu anapotezwa tu halafu jamii ikakaa kimya, je hiyo jamii itaendelea kukaa kimya hadi lini?, wameichokoza jamii hata kura waibe duu

Silence surrenders public responsibilities
 
Michango ya chadema a.k.a nyumbu wa mbowe bwana; wanawaza uchawi tuuuuu!
 
Wakuu,

Najiuliza hivi nu kwamba wananchi wamewachoka viongozi wa serikali au wameichoka serikali maana yanayotokea kwa sasa ningekuwa kaka Luka ningebubujikwa na machozi.

Yani imefikia kipindi viongozi wanapata majanga badala wananchi wasikitike wanafurahi na kutaka kujua wangapi wametangulia kwa baba kuandaa makao.

Wafanyakazi wa TRA walovamiwa na kupigwa mawe hakuna mwananchi aliyeonesha kusikitishwa zaidi walitamani hata waliorusha mawe wangechoma gari moto ili waliokuwamo wateketee.

Hiki kitu kinaonesha ni hasira kiasi gani wananchi walionayo dhidi ya watu wa Serikali.

Halafu hao hao viongozi wakirudi kwenye majimbo yao wanashinda kwa 99% sasa unajiuliza walichaguliwa na mizimu🤔

My take: Ningekuwa kiongozi wa serikali ningestaafu na kumrudia Mungu.
Uonevu ukizidi utu unayeyuka
 
Mi naamini mfumo wa uongozi kwenye hili Taifa ndo chanzo cha wananchi kufurahia mabaya yanapowapata viongozi na watumishi
Shida nyingine viongozi hawataki kutatua hiyo sintofaham badala yake wanatumia nguvu kubwa kubwa kuwafanya wananchi wasione kama kuna shida.

Serikali siku ikijua yenyewe ndo shida muda utakuwa umekwisha wa kurekebisha hizo dosari mwisho iache UBAGUZI.
Akili zile zile zilizo tengeneza tatizo hazitaweza kutatua changamoto
 
Wakuu,

Najiuliza hivi nu kwamba wananchi wamewachoka viongozi wa serikali au wameichoka serikali maana yanayotokea kwa sasa ningekuwa kaka Luka ningebubujikwa na machozi.

Yani imefikia kipindi viongozi wanapata majanga badala wananchi wasikitike wanafurahi na kutaka kujua wangapi wametangulia kwa baba kuandaa makao.

Wafanyakazi wa TRA walovamiwa na kupigwa mawe hakuna mwananchi aliyeonesha kusikitishwa zaidi walitamani hata waliorusha mawe wangechoma gari moto ili waliokuwamo wateketee.

Hiki kitu kinaonesha ni hasira kiasi gani wananchi walionayo dhidi ya watu wa Serikali.

Halafu hao hao viongozi wakirudi kwenye majimbo yao wanashinda kwa 99% sasa unajiuliza walichaguliwa na mizimu🤔

My take: Ningekuwa kiongozi wa serikali ningestaafu na kumrudia Mungu.
Watu wana subiri habari kama zile za 2021, watu wamechoka.
 
Michango ya chadema a.k.a nyumbu wa mbowe bwana; wanawaza uchawi tuuuuu!
Mbona hujibu maswali Muhimu yaliyoulizwa? Au huoni kwamba Kuna jambo ambalo sio afya kwa jamii iliyostaarabika?
Unadhani majibu haya yasiyokua hata na mwelekeo yanaweza kuondoa huu mtanziko, kwa kuongea kama mwanamke aliyefumaniwa na hajui afanye Nini kuinusuru aibu yake?!
Ina maana ndani ya chama hakuna mafunzo tena ya itikadi, public speaking nk Ili kuwashawishi wananchi isipokua ni mafunzo ya kuiba, kura,matukio ya maporini na namna ya kuamrisha idara za serikali zitii amri haramu za viongozi wa chama. Wananchi wakiamua kwa pamoja kujilinda unadhani viongozi watasalimika?
 
Back
Top Bottom