Je, ni kwanini manispaa hazina vitengo maalum vya kusafisha beach kama ilivyo kwa barabara?

Je, ni kwanini manispaa hazina vitengo maalum vya kusafisha beach kama ilivyo kwa barabara?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Huwa tunashuhudia makampuni yakipewa kandarasi za kufagia barabara na kusafisha mitaro kwa malipo maalum. Sasa je, ni kipi kinachoshindikana kwa beach mbali mbali hapa jijini Dar hadi ambazo zinajaa matakataka ya plastiki yanayosukumwa na maji toka baharini?
 
818B5696-FAE8-4879-B060-56D2FFB2B6B1.jpeg
B6618241-344C-4A42-8809-F321802E8B00.jpeg
50080B4E-61E5-4D4D-B325-EA75B83CE623.jpeg
Kawe beach
 
Hizo beach zitusamehe kwa sasa maana tupo busy na lissu.
 
Back
Top Bottom