FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sote tunafahamu umuhimu wa utalii kwenye kuchangia pato katika uchumi wa nchi yetu. Hivyo basi, panapotokea taharuki inayoweza kusababisha kupungua kwa idadi ya watalii, anayesambaza hiyo taharuki ni sawa na mhujumu uchumi tu.
Sasa kulikuwa na haja gani kwa hawa watu wawili kupiga makelele na kuitangazia dunia nzima kwamba kuna mtalii amekufa kwa ajali ya gari huko mbugani, lengo ni nini hasa?
View: https://www.instagram.com/p/C9-6AXZiYk1/?igsh=YW5teWp0aG54aWpm
Sasa kulikuwa na haja gani kwa hawa watu wawili kupiga makelele na kuitangazia dunia nzima kwamba kuna mtalii amekufa kwa ajali ya gari huko mbugani, lengo ni nini hasa?
View: https://www.instagram.com/p/C9-6AXZiYk1/?igsh=YW5teWp0aG54aWpm