Je, ni kwanini Millard Ayo na Mkurugenzi wa TANAPA wasishtakiwe kwa uhujumu uchumi?

Je, ni kwanini Millard Ayo na Mkurugenzi wa TANAPA wasishtakiwe kwa uhujumu uchumi?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Sote tunafahamu umuhimu wa utalii kwenye kuchangia pato katika uchumi wa nchi yetu. Hivyo basi, panapotokea taharuki inayoweza kusababisha kupungua kwa idadi ya watalii, anayesambaza hiyo taharuki ni sawa na mhujumu uchumi tu.

Sasa kulikuwa na haja gani kwa hawa watu wawili kupiga makelele na kuitangazia dunia nzima kwamba kuna mtalii amekufa kwa ajali ya gari huko mbugani, lengo ni nini hasa?


View: https://www.instagram.com/p/C9-6AXZiYk1/?igsh=YW5teWp0aG54aWpm
 
Unafikiria kuficha kifo cha mtalii? Au unawaza wanakuja kigiza giza tu?

Mpaka kufikia hao kutangaza ujue duniani iliishajua
Lakini wasingejua kwa wingi wa kiasi hiki, kuna vitu vingi vyenye negative impact kwenye utalii ambapo huko kwa wenzetu huwa vinabaki minong’ono tu, lakini hawatangazi wala kudhibitisha…
 
Sasa millard ayo amefanya kosa gani hapo...taarifa si ilishatolewa na tanapa
Tanapa waliwe kichwa kwanza kwa hilo, lakini si kila taarifa ni ya kupost. Hivi mtu mwenye followers milioni 14+ unashindwa kutumia busara kujua kwamba hiki sio cha kusambaza kwa maslahi mapana ya nchi? Hao watalii wakishajuwa mbuga flani kafa mtalii, mentality yao itabadilika, na watapungua..
 
Kila mtu anaangalia maslahi yake, Millard kuitoa hiyo taarifa inazidi kumweka vizuri na anavuna mashabiki nje na ndani ya nchi.

Suala la kusema maslahi mapana ya nchi walitakiwa waanze wenyewe viongozi wa nchi na wakusanyaji kodi.
 
Hiyo habari ni kweli au siyo kweli? Kila siku tunasikia habari za ajali za ndege za Boeing na bado zinafanya kazi kama kawaida japokuwa wana historia mbaya katika safari zao.

Hii nchi ina watu wajinga-wajinga sana, kila kitu mnataka kuweka siasa.
Nimeipenda hii
 
Hiyo habari ni kweli au siyo kweli? Kila siku tunasikia habari za ajali za ndege za Boeing na bado zinafanya kazi kama kawaida japokuwa wana historia mbaya katika safari zao.

Hii nchi ina watu wajinga-wajinga sana, kila kitu mnataka kuweka siasa.

Kabisa mkuu kama huyu muanzisha mada .
Mawazo yake ya kijinga sana
 
Sote tunafahamu umuhimu wa utalii kwenye kuchangia pato katika uchumi wa nchi yetu. Hivyo basi, panapotokea taharuki inayoweza kusababisha kupungua kwa idadi ya watalii, anayesambaza hiyo taharuki ni sawa na mhujumu uchumi tu.

Sasa kulikuwa na haja gani kwa hawa watu wawili kupiga makelele na kuitangazia dunia nzima kwamba kuna mtalii amekufa kwa ajali ya gari huko mbugani, lengo ni nini hasa?


View: https://www.instagram.com/p/C9-6AXZiYk1/?igsh=YW5teWp0aG54aWpm

Wacha ujinga, wameshasema ni ajali.
 
Ajali haina kinga, matukio ya aina hiyo yapo kote duniani.
Hakuna cha kuficha hapo.
 
Wacha ujinga, wameshasema ni ajali.
Si ndio hapo , watu wengine sijui wanawazaga nini
Huko Nepal watu wanapata ajali wakiwa wanapanda mlima evarist wengine wanaanguka kwenye makorongo marefu hadi miili yao inashindikana kutolewa ila hawafichi hizo habari na still watu bado wanaendelea kwenda kupanda huo mlima.
Mtoa mada amekengeuka how comes ufiche habari ya tukio la ajali?
 
Ukweli utakuweka huru, jifunze kuupenda ukweli badala ya kuishi kwa uongo na ulaghai.
 
Sote tunafahamu umuhimu wa utalii kwenye kuchangia pato katika uchumi wa nchi yetu. Hivyo basi, panapotokea taharuki inayoweza kusababisha kupungua kwa idadi ya watalii, anayesambaza hiyo taharuki ni sawa na mhujumu uchumi tu.

Sasa kulikuwa na haja gani kwa hawa watu wawili kupiga makelele na kuitangazia dunia nzima kwamba kuna mtalii amekufa kwa ajali ya gari huko mbugani, lengo ni nini hasa?


View: https://www.instagram.com/p/C9-6AXZiYk1/?igsh=YW5teWp0aG54aWpm

Such kind of you guys ni wajinga kweli? Ajali ni kitu cha kuficha?
Inatokea tu, as long as lisababish si mamlaka ya hifadhi, au staff wake.

Na hii si mara ya kwanza, punguza mihemko
 
Sote tunafahamu umuhimu wa utalii kwenye kuchangia pato katika uchumi wa nchi yetu. Hivyo basi, panapotokea taharuki inayoweza kusababisha kupungua kwa idadi ya watalii, anayesambaza hiyo taharuki ni sawa na mhujumu uchumi tu.

Sasa kulikuwa na haja gani kwa hawa watu wawili kupiga makelele na kuitangazia dunia nzima kwamba kuna mtalii amekufa kwa ajali ya gari huko mbugani, lengo ni nini hasa?


View: https://www.instagram.com/p/C9-6AXZiYk1/?igsh=YW5teWp0aG54aWpm

Ilitakiwa kua siri ya ndani eeeh afu tumzike kimya kimya
 
Back
Top Bottom