Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Huna hoja kaka, wasinge post wao wangepost wageni, au familia ya mfiwa. Na hii si mara ya kwanza ajali kutokea.Tanapa waliwe kichwa kwanza kwa hilo, lakini si kila taarifa ni ya kupost. Hivi mtu mwenye followers milioni 14+ unashindwa kutumia busara kujua kwamba hiki sio cha kusambaza kwa maslahi mapana ya nchi? Hao watalii wakishajuwa mbuga flani kafa mtalii, mentality yao itabadilika, na watapungua..
Mamlaka imefanya sawa kabisa, punguza ushamba na mihemko