Je, ni kwanini nchi ya Rwanda si tu 'inasifika' bali kwa sasa 'inaogopeka' pia kwa kuwa na 'Majasusi' mahiri kabisa kuliko nchi nyingine za EAC?

Je, ni kwanini nchi ya Rwanda si tu 'inasifika' bali kwa sasa 'inaogopeka' pia kwa kuwa na 'Majasusi' mahiri kabisa kuliko nchi nyingine za EAC?

Sidhani kama wale wahuni waliteka kifaru...labda waliishia kushambulia wanakijiji wasio na silaha tu.
Kuteka kifaru ni propaganda tu ila kazi wanayo. Msifikiri Nyerere alikuwa mjinga kumuacha Idd Amin aiteke Kagera! Amin alijiingiza kwenye mtego wa sababu za kutandikwa! Hao wahuni wa Msumbiji sasa ndio watajua JWTZ ni kitu gani! Sasa wameipa uhalali JWTZ kudeal nao.
 
Hivi Nani aangaike na mkoa ambao hauna hata rasilimali moja? Kamkoa magazine yenye risasi 30 inatosha kukasambaratisha. Hao ni intelijensia ya kagame sio Rwanda na wanafanya kazi ya kumlinda kagame na maslahi. Kagame Kama sio kuiba madini ya Rwanda angeshindwa kukaendesha kale kamkoa. Wanaoigopa intelijensia ya Rwanda ni maadui binafsi wa kagame ambao NI wanyarwanda wenzao ikiwemo na wewe na wanawashughulikia kweli kweli. Nchi Kama Tanzania inaanzaje kuiogopa intelijensia ya Rwanda. Huyo kagame si alijaribu kumshika sharubu kikwete kilichomkuta hukumsikia Tena anaishobokea tz, au unajisahaulisha?
Madini ya congo mkuu! sio rwanda.
 
Hii ka fasihi inahusiana na tukio la Ntwara.

Huko Rwanda kwenyewe wangekuwa vizuri, hayo mashambulizi vijiji vyao ndani kwa ndani yasingekuwepo, kigogo Hotel Rwanda asingetuhumiwa.

Ila kwa zile 'honey trap' za vile vibinti, tunachohomokaje? Tuacheni tu. Na sisi tunapenda wanawake warembo, wakiwa weupe ndiyo kabisaaa, tunatepeta.😀

Everyday is Saturday. 😎
 
Nimesoma comments zote nahisi watu hawajelewa fasihi nzito iliyopo kwenye huu uzi. Nawashauri kwamba hebu muupitie tena kwa utulivu na umakini, msome kati ya mistari(between the lines) kisha tupate maoni ya kifasihi.

Fasihi ni pana na inategemea kila mmoja kaichambua vipi kazi husika na hiyo inaonyesha ubora wa "Fanani", ila kwa maoni yangu Rwanda kama Rwanda imetumika kuwakilisha hoja ya mahala fulani
Usione wote Wajinga
Mleta mada labda humjui wewe
 
Inasemekana huwezi kupanga Jambo baya la 'Kuidhuru' Rwanda ukiwa ama ndani ya Rwanda au hata nje ya Rwanda na usijulikane mapema na ukadhibitiwa Kikamilifu kabisa.

Pia wanasema huwezi 'Kuvamia' Mkoa wowote ule wa Rwanda hata kama Wewe ni Gaidi na ukauwa Wanyarwanda au ukawashambulia Wanajeshi wake tena 'Makomandoo' kabisa na wengine wakakimbia na kukuachia 'Vifaru' vyao.

Nasikia 'Majasusi' wa Rwanda ni wazuri sana katika 'Kunusa' hatari na wala hawana mambo mengi, hawapendi 'Sifa', hawajihusishi mno na 'Siasa' za Rwanda bali Wao wanapambana tu Kuilinda Rwanda na Wanyarwanda wote.

Je, hii ina ukweli wowote labda? Na kama ni kweli ina maana 'Mafunzo' wanayopewa 'Majasusi' wa Rwanda ni tofauti na Nchi zingine zote za kuna

Hii ka fasihi inahusiana na tukio la Ntwara..

Huko Rwanda kwenyewe wangekuwa vizuri, hayo mashambulizi vijiji vyao ndani kwa ndani yasingekuwepo, kigogo Hotel Rwanda asingetuhumiwa.

Ila kwa zile 'honey trap' za vile vibinti, tunachohomokaje?? Tuacheni tu. Na sisi tunapenda wanawake warembo, wakiwa weupe ndiyo kabisaaa, tunatepeta.😀

Everyday is Saturday............................ 😎
Sawa kabisa p1 sana yaani anataka kusema ametumia akili kubwa sana mukichwa sisi hatuwezi kuelewa fasihi ya kiswahili yaano yuko " deep" sana kimipango anajifanya nae yuko smart ki inteligensia hatuwezi kumuelewa.

Angetumia wale mabinti tu basi maneno yangeisha. Tuanze na wale waimbaChoir " kwetu Pazuriiiiiii"
Nadhani hatojali kuwa shemeji yetu, hayo mengine ya P.K watajuana wenyewe huko huko.
 
Nimesoma comments zote nahisi watu hawajelewa fasihi nzito iliyopo kwenye huu uzi. Nawashauri kwamba hebu muupitie tena kwa utulivu na umakini, msome kati ya mistari(between the lines) kisha tupate maoni ya kifasihi.

Fasihi ni pana na inategemea kila mmoja kaichambua vipi kazi husika na hiyo inaonyesha ubora wa "Fanani", ila kwa maoni yangu Rwanda kama Rwanda imetumika kuwakilisha hoja ya mahala fulani
Nisaidie katika uchambuzi wako umeelewa nini?
 
Kwani waliwaachia kifaru big no nafikr ni jeshi la msumbiji, wale walifanya ambush kweli wameua watu ila hawawezi tia watu kidole namna ya kuteka kifaru na wakipeleke wapi,na wamekitekea wapi ilihali wamevamia kijijini
Wale magaidi walivizia wapita njia wakapiga risasi na kukimbia kwenye aridhi ya Tz walikaa kwa dakika 20 tu wakatoroka na kama uliona ile picha ya mgombea wa CCM haikuwa ukutani hizo zingine ni propaganda tu za magaidi
 
Ni kweli ndugu kwa sasa Rwanda inapata taarifa yoyote ile kwenye Nchi nyingi za Africa kutokana na tabia yao ya kuweka watu wao katika sehemu nyeti za Nchi nyingi za Africa.Ukienda jeshini wapo, ukienda ikulu unakuta ndo walinzi wenyewe.sasa hapo unachomokaje ndugu?.

Kagame akiamua wiki 1 tu inatosha kwake kuchukua Easte Africa yote na vitongoji vyake.
 
Hao wanasifika kwa ukatili zaidi, lakini ujasusi wao ni wa kawaida sana.

Wanyarwanda ni wakatili sana nadhani ile vita vya kuchinjana wenyewe kwa wenyewe iliwaharibu kisaikolojia.

Ukiangalia sifa hizi wanazozipata ni ile kuwaua wapinzani wa Kagame. Huu ni ukatili tu.
 
Rwanda ni kataifa kadogo sana kasicho na lolote la maana zaidi ya wananchi wake kuishi kwa hofu kubwa sana kutokana historia mbaya ya vita ya wenyewe kwa wenyewe

Hivyo hakuna Taifa lolote linaweza kupanga kuvamia hako kanchi kakibwege

Pia hio intelijensia yao unayosema ipo maalumu kwaajili ya kulinda utawala wa Kitutsi dhidi ya mahasimu wao wa Kihutu na si dhidi ya Taifa lao against Taifa jingine

Katika ukanda huu wa nchi za maziwa makuu TANZANIA ndio baba lao, superior country ktk ishu za majeshi na intelijensia kwa UJUMLA..!!

UN Security Council linai-label TANZANIA kama a supervisor/watchdog ktk ukanda wa nchi za maziwa makuu,,, ikitokea mtifuano kidogo tu Burundi/rwanda/Congo drc basi UN security Council wanapiga simu Tz kuomba taarifa kamili na kuhitaji Tz iunde na ipeleke delegates kushughulikia mtifuano huo.
AMANI ya ukanda wa maziwa makuu ipo mikononi mwa Tz

TUNALINDA AMANI YA NCHI YETU, TUNALINDA AMANI YA NCHI ZINGINE

Mungu Ibariki Tanzania
Kweli kabisa mkuu
 
Ni kweli ndugu kwa sasa Rwanda inapata taarifa yoyote ile kwenye Nchi nyingi za Africa kutokana na tabia yao ya kuweka watu wao katika sehemu nyeti za Nchi nyingi za Africa.Ukienda jeshini wapo, ukienda ikulu unakuta ndo walinzi wenyewe.sasa hapo unachomokaje ndugu?.

Kagame akiamua wiki 1 tu inatosha kwake kuchukua Easte Africa yote na vitongoji vyake.
hahahaha umenikumbusha zaman saana tulikuwa tunaambiwa Tz ni nchi ya tatu kijeshi
 
Ni kweli ndugu kwa sasa Rwanda inapata taarifa yoyote ile kwenye Nchi nyingi za Africa kutokana na tabia yao ya kuweka watu wao katika sehemu nyeti za Nchi nyingi za Africa.Ukienda jeshini wapo, ukienda ikulu unakuta ndo walinzi wenyewe.sasa hapo unachomokaje ndugu?.

Kagame akiamua wiki 1 tu inatosha kwake kuchukua Easte Africa yote na vitongoji vyake.
Labda ataichukua Burundi.

We unatishika na waliokuwaga wapishi jeshini tena ni watoto wa wakimbizi waliozaliwa humu nchini ambao kiundani hata huo utwala wa kgm hawaupendi.
 
Back
Top Bottom