Je, ni kwanini nchi ya Rwanda si tu 'inasifika' bali kwa sasa 'inaogopeka' pia kwa kuwa na 'Majasusi' mahiri kabisa kuliko nchi nyingine za EAC?

Huyu kunguni hujifanya kujua sana wakati ubongo umejaa kinyesi tu.
Nyambafu mbwa wewe
 
Mkuu wa majeshi amejiingiza ktk siasa matokeo yake wanajeshi wanachinjwa kama kuku na raia wakazi na magaidi!!!!ujasusi umefeli!!!
 
Adui wa Rwanada anapata nini cha maana? Kahawa vikombe viwili au na yeye awapore madini wanayopora Congo DRC?

Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufikiria kuhangaika na huo mkoa mdogo usio na rasilimali zozote.
 
Hakuna fasihi yoyote ni utopolo mtupu.
 
Aichuke East Africa aipeleke wapi?
Juzi tu hapo Uganda walimbonyeza kidogo akabaki analalamika na kakimbilia Tanzania kuoamba msaada wa kumaliza mgogoro na M7.
 
Aichuke East Africa aipeleke wapi?
Juzi tu hapo Uganda walimbonyeza kidogo akabaki analalamika na kakimbilia Tanzania kuoamba msaada wa kumaliza mgogoro na M7.
Tena alilia kwelikweli kwa M7.
 
Operations ambazo TISS wamefanya kwa umahiri kuilinda Nchi sio fair kuwalinganisha na Rwanda ambao hata waasi tu wanashindwa kuwatokomeza tena cha ajabu waasi wenyewe wapo ardhi za DRC na Burundi nchi zinazopakana kabisa na Rwanda
We jamaa utakuwa ndani ya mfumo, probably JWTZ
 
Huyu kunguni hujifanya kujua sana wakati ubongo umejaa kinyesi tu.
Nyambafu mbwa wewe
Hivi nyie 'Juha' mnaosema kila Siku kuwa GENTAMYCINE najua kila Kitu kuna mahala popote nanyi mmezuiwa msiwe 'Knowledgeable' kama Mimi?
 
Your @ss jealous of amount of sh#&t that just came out of your mouth!!
Thank you in advance empty brainer
Tangia lini 'Uncircumcised Baboon' kama Wewe akawa na 'Akili' hapa Jamvini JamiiForums?
 
Nafikiri pk anajilinda yeye zaidi na familia yake ili atawale milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…