Je, ni kwanini wana-michezo hawafi kwa changamoto za upumuaji?

Je, ni kwanini wana-michezo hawafi kwa changamoto za upumuaji?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Tangu kuanza kwa sakata la Corona mwaka jana, tumeshuhudia wazee na hata baadhi ya wasio wazee sana wakifariki kwa kile kinachohisiwa kuwa ni ‘changamoto ya upumuaji ’.

Hivyo basi, kama kinga ya changamoto hizi ni kufanya mazoezi, nadhani badala ya kung’ang’ania serikali ichukue hatua za kiweka restrictions, ni vyema kila mtu akafanya kile ambacho wanamichezo hufanya, yaani mazoezi.
 
Swali linafanana na kwanini albino hawafi.

jibu ni % wapo wachache ukilinganisha na wasiokuwa wanamichezo ukipigia ratio ya kufa akifa mwanamichezo 1 ujue wasio wanamichezo wamekufa 10000 So difficult to figure out a death of athletic man.
 
Mbona wataalamu wa afya wameshasema huo ugonjwa unawaathiri zaidi wale ambao kinga za miili yao zipo chini kutokana na sababu mbalimbali mfano umri mkubwa, magonjwa yasiyo ya kuambukiza mfano Kisukari, shinikizo la damu, wale viumbe wasio fanya mazoezi ya kutoka jasho, nk.

Vitu vyote nilivyo vitaja hapo juu haviwahusu kabisa wanamichezo. All in all, tuendelee kuchukua tahadhari. Hii nyumonia inaua watu wengi. Na huo ndiyo ukweli.
 
Wanamichezo wengi ni vijana,
Watu wazima ndiyo makazi ya Covid 19
 
Ngoja wataalamu wa Tiba kina Rikiboy na wenzake waje kutupa ukweli.
 
Ukiliendekeza Sana tatizo la changamoto ya upumuaji akilini mwako, utateseka Sana!

Live your life, leave other paradox behind!
 
Ikiwa huna Taarifa za Walemavu wa Macho wangapi wamekufa kwa Corona unaweza ukahitimisha kusema Corona haiwaathiri vipofu

Tukisema Hakuna Naibu Waziri Dunian aliekufa kwa Corona tutasema unaibu Waziri ni kinga dhidi ya corona
 
Mbona wataalamu wa afya wameshasema huo ugonjwa unawaathiri zaidi wale ambao kinga za miili yao zipo chini kutokana na sababu mbalimbali mfano umri mkubwa, magonjwa yasiyo ya kuambukiza mfano Kisukari, shinikizo la damu, wale viumbe wasio fanya mazoezi ya kutoka jasho, nk.

Vitu vyote nilivyo vitaja hapo juu haviwahusu kabisa wanamichezo. All in all, tuendelee kuchukua tahadhari. Hii nyumonia inaua watu wengi. Na huo ndiyo ukweli.
Nikweli
 
Mbona wataalamu wa afya wameshasema huo ugonjwa unawaathiri zaidi wale ambao kinga za miili yao zipo chini kutokana na sababu mbalimbali mfano umri mkubwa, magonjwa yasiyo ya kuambukiza mfano Kisukari, shinikizo la damu, wale viumbe wasio fanya mazoezi ya kutoka jasho, nk.

Vitu vyote nilivyo vitaja hapo juu haviwahusu kabisa wanamichezo. All in all, tuendelee kuchukua tahadhari. Hii nyumonia inaua watu wengi. Na huo ndiyo ukweli.

Umedadavua vyema. Cha ajabu ni kuwa, nguvu kubwa inatumika kujaribu kuivua serikali uwajibikaji na ugonjwa huu

Wako busy kuhalalisha vifo. Kwani wazee au wenye maradhi mengine ndiyo sawa wao kufa kwa ugonjwa huu?

Ndiyo maana kucha kutwa wako kuvumbua na hata kubumba sababu za vifo. Utasikia ni uzee, kwani magonjwa mengine hayaui, nk. Sasa wamekuja na mpya za kusingiziwa ajali hewa kama visababishi vya vifo vya ghafla.

Kwa kutochukua hatua zozote serikali haiwezi kujivua lawama kwa vifo vya ugonjwa huu ambavyo kwa hakika vingeweza kuzuilika.

Siku moja majina ya wahanga wote mmoja mmoja yatasomwa mbele zao.
 
Ikiwa huna Taarifa za Walemavu wa Macho wangapi wamekufa kwa Corona unaweza ukahitimisha kusema Corona haiwaathiri vipofu

Tukisema Hakuna Naibu Waziri Dunian aliekufa kwa Corona tutasema unaibu Waziri ni kinga dhidi ya corona
Wanamichezo maarufu ni wengi sana ukilinganisha na mawakili ambao ndio kila siku wanaletewa Tanzia na sio maarufu kama wanamichezo, hivyo kuna kitu cha kujifunza kuhusu mazoezi ya mwili
 
Cristiano, pogba, ashley young, aguero, pep, zlatan na wengine kibao serie a, premier, la liga huwa hawafanyi mazoezi! Futa hii thread haraka sana
 
Sio kweli kuwa wanamichezo hawatembei wala kudead na COVID 19 labda wanamichezo wa Kiafrika [emoji16]..... Hawa ni baadhi ya wanamichezo tu waliokufa kutokana na Ugonjwa huu;
1. Francisco Garcia Huyu alikuwa ni kocha wa klabu moja ya soka kwenye mji wa Malaga nchini Uhispania. Tarehe 17 machi Mwaka 2020 alifariki kwa COVID 19 akiwa na umri wa Miaka 21 tu.
2. Shobushi alikuwa ni Mwanamieleka kwenye michezo ya Sumo. Alifariki kwa ugonjwa huu huku akiwa na Miaka 28 tarehe 13 April 2020.
3. Danil Khalimov mwanamieleka wa Kirusi akiwa na Miaka tu alitembea kwa ugonjwa huu. Mnamo mwezi wa kumi tarehe 15.
Orodha iko ndefu sana ila ugonjwa upo jamani!!!! [emoji20][emoji20][emoji20]
 
Tangu kuanza kwa sakata la Corona mwaka jana, tumeshuhudia wazee na hata naadhi ya wasio wazee sana wakifariki kwa kile kinachohisiwa kuwa ni ‘changamoto ya ’.

Hivyo basi, kama kinga ya changamoto hizi ni kufanya mazoezi, nadhani badala ya kung’ang’ania serikali ichukue hatua za kiweka restrictions, ni vyema kila mtu akafanya kile ambacho wanamichezo hufanya, yaani mazoezi.

Hapa nchini ni maneno ya busara tokea kwake Prof. Bisanda:

"Watanzania wengi wanadhani ugonjwa huu utawapata wengine, wasitambue kuwa hata pale wanapopata maambukizi, huwa wamekuwa wazembe kujilinda."

Hayo ni kutokea katika uzi huu:


Kwamba haziko takwimu zenye kuonyesha machangudoa wangapi baina ya wangapi waliopo, wamekufa kwa ugonjwa huu, hakuna maana kuwa uchangudoa ni kinga dhidi ya corona.

Au nasema uongo ndugu zangu.
 
Cristiano, pogba, ashley young, aguero, pep, zlatan na wengine kibao serie a, premier, la liga huwa hawafanyi mazoezi! Futa hii thread haraka sana
Misiba yao hao ilifanyika wapi? Mbona mi sikusikua..
 
Sio kweli kuwa wanamichezo hawatembei wala kudead na COVID 19 labda wanamichezo wa Kiafrika [emoji16]..... Hawa ni baadhi ya wanamichezo tu waliokufa kutokana na Ugonjwa huu;
1. Francisco Garcia Huyu alikuwa ni kocha wa klabu moja ya soka kwenye mji wa Malaga nchini Uhispania. Tarehe 17 machi Mwaka 2020 alifariki kwa COVID 19 akiwa na umri wa Miaka 21 tu.
2. Shobushi alikuwa ni Mwanamieleka kwenye michezo ya Sumo. Alifariki kwa ugonjwa huu huku akiwa na Miaka 28 tarehe 13 April 2020.
3. Danil Khalimov mwanamieleka wa Kirusi akiwa na Miaka tu alitembea kwa ugonjwa huu. Mnamo mwezi wa kumi tarehe 15.
Orodha iko ndefu sana ila ugonjwa upo jamani!!!! [emoji20][emoji20][emoji20]
Hao si nasikia walikuwa wagonjwa wa hospitalini hata kabla ya Corona?
 
Sio kweli kuwa wanamichezo hawatembei wala kudead na COVID 19 labda wanamichezo wa Kiafrika [emoji16]..... Hawa ni baadhi ya wanamichezo tu waliokufa kutokana na Ugonjwa huu;
1. Francisco Garcia Huyu alikuwa ni kocha wa klabu moja ya soka kwenye mji wa Malaga nchini Uhispania. Tarehe 17 machi Mwaka 2020 alifariki kwa COVID 19 akiwa na umri wa Miaka 21 tu.
2. Shobushi alikuwa ni Mwanamieleka kwenye michezo ya Sumo. Alifariki kwa ugonjwa huu huku akiwa na Miaka 28 tarehe 13 April 2020.
3. Danil Khalimov mwanamieleka wa Kirusi akiwa na Miaka tu alitembea kwa ugonjwa huu. Mnamo mwezi wa kumi tarehe 15.
Orodha iko ndefu sana ila ugonjwa upo jamani!!!! [emoji20][emoji20][emoji20]
Ni kweli wapo wanamichezo waliokufa ila idadi yao ni ndogo sana,kuonyesha kuna kitu kinachompa advantage mwanamichezo.
Kwa mfano hao akina Garcia,Shobushi walikuwa na complications nyingine za kiafya.
Silaha kubwa ya corona virus ni kuathiri kiwango cha oxygen mwilini,so you can see kwanini wanaoathirika sana wengi ni watu wanene,wazee na wenye other healthy complications maana kazi ya oxygen mwilini sote tunaijua.
So ni kweli unapokuwa mtu wa mazoezi,hasa aerobic exercise kama kukimbia,unakuwa na chances za kusurvive na hata kuwa asymptomatic kabisa.
Wanamichezo wengi kama footballers wamepata covid ila haikuwadhuru kabisa.

Hata hivyo kama ulikuwa regular athlete halafu ukaacha mda mrefu,then uko kwenye hatari kubwa ya kuumizwa na corona,maana wanamichezo wengi wastaafu wanakuwaga na respiratory na cardiac issues sana,hasa matatizo ya upumuaji na wengi hufa vifo vya ghafla.

Pia nadhani mazoezi yanasaidia kwa mtu ambaye tayari ni regular athlete,ila sio uanze kujisikia vibaya leo halafu unakwenda kukimbia uwanjani,unatafuta matatizo zaidi.
This shit is deadly,ikikupitia you better seek medical solutions first.
 
Back
Top Bottom