Be my guest tafadhali.Lakini mnatukera cc wanawake na hiyo tabia yenu...hata mkiwa na wake zenu mnashindwa kujizuia.....manakodorea hadi linatokomea.....atleast show a respect when you are with your woman around....
hahahahaKwani uzuri wa nyumba ni nini? Kuna mtu ananiambia choo
siyo mbaya wanatukuza uumbaji wa Mungu, ila wakati mwingine miguu inagongana.
wowsiyo mbaya wanatukuza uumbaji wa Mungu, ila wakati mwingine miguu inagongana.
wow
umejuaje??? je umeumbika kivile??? sema ndiyo basi maana hapa na mie miguu imeanza kugongana
nazidi kuchanganyikiwa hapa....acha usanii wewe?
Mkuu masanilo umenifurahisha sana..mambo ya tiGO express!!! ongea zaidi
Buchman;Hi. I am posting this message 4 the first time as a new JF member. I hope am warmly welcomed.π
Kuangalia hakuna ubaya wowote, looking is allowed but not touching...
Na kwenye dala dala je? ha ha ha ha huko ni vurugu mechi tupu!!! njemba zinaweza kutoana macho kuwahi kukaa nyuma ya mwanamama mwenye wowowo la nguvu linaloweza kukupa mshtuko wa moyo ha ha ha Mie nilikuwa wa kwanza kufika hapa kabla yako π Noooooo! muulize huyu mama mwenyewe nani alikuwa kasimama nyuma yake kwa karibu dakika 15 sasa πHuyu kaka mwemye shati jekundu na suruali nyeusi alikuwa kasimama nyuma yangu muda sasa ha ha ha kama sikosei nilipopanda tu pale kwenye kituo changu akawa nyuma yangu ha ha ha