Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

Lakini mnatukera cc wanawake na hiyo tabia yenu...hata mkiwa na wake zenu mnashindwa kujizuia.....manakodorea hadi linatokomea.....atleast show a respect when you are with your woman around....
Be my guest tafadhali.
 
Jamani wowowo linamvuto sana na lina nafasi mm nikila kwa macho tu kama nipo na wifi/shemeji yenu sio mbaya mm namwambia wazi ile inavutia na inavuta macho sasa mm nifanyaje lakini namwambia wazi yule amezidi la kwake kubwa.
 
Kwani uzuri wa nyumba ni nini? Kuna mtu ananiambia choo
hahahaha
Ila hawa wamama wanajishaua tu kwani wanajua sana ni kitu gani dume linatoka roho. Na wanajua kuviwamba sana viushuzi vyao hata yule ambaye mifupa imeshikana na ngozi lazma atafanya fujo aonekane naye anacho kijambio kilichofutuka (Mtanisamehe kwa lugha kali ila nipo darasani natoa somo hapa). hahahahaha.

nadhani tunazidi kupata wadau wapya wa kujiexpress. Orodha hii hapo chini unaweza kuijazilizia zaidi.

  1. FIDEL
  2. MASA...
  3. MSA...
  4. NDAHANI
  5. .....
waliotajwa hapo juu ni majasiri wa kujiexpress ambapo bado wengine wanajitokeza indirectly.
Twende kazi list inaendelea.
 
siyo mbaya wanatukuza uumbaji wa Mungu, ila wakati mwingine miguu inagongana.
 
siyo mbaya wanatukuza uumbaji wa Mungu, ila wakati mwingine miguu inagongana.

Mi bana wowowo iwa linanirusha roho yaani mi kipapatio aah hakina nafasi kwangu mi ni nataka paja tu mie.
 
siyo mbaya wanatukuza uumbaji wa Mungu, ila wakati mwingine miguu inagongana.
wow
umejuaje??? je umeumbika kivile??? sema ndiyo basi maana hapa na mie miguu imeanza kugongana
 
Mkuu masanilo umenifurahisha sana..mambo ya tiGO express!!! ongea zaidi
 
Is it the big butt?
l_824a5b5386ab424490c6a60e66b2f714.jpg



....or is it the curves?
l_9f32d7b21fa54d588e21706830da3975.jpg

 
Mkuu masanilo umenifurahisha sana..mambo ya tiGO express!!! ongea zaidi

nadhani tunazidi kupata wadau wapya wa kujiexpress. Orodha hii hapo chini unaweza kuijazilizia zaidi.

  1. FIDEL
  2. MASA...
  3. MSA...
  4. NDAHANI
  5. KIGOGO
  6. .....
waliotajwa hapo juu ni majasiri wa kujiexpress ambapo bado wengine wanajitokeza indirectly.
Twende kazi list inaendelea.
 
Nafikiri ni mojawapo ya the way ambayo muumba kaweka mvuto kwa hawa akina dada
 
Hi. I am posting this message 4 the first time as a new JF member. I hope am warmly welcomed.😎
 
Hi. I am posting this message 4 the first time as a new JF member. I hope am warmly welcomed.😎
Buchman;

Karibu sana Tumkome Nyani . . .

Naona umeamua kuanzia kwenye Mawowowo . . . . Tee tee Kwii Kwii . .
 
Watu weusi wengi twapenda mawowowo hata wanawake pia huyatamani ya wenzao. Yakiwa mazuri lakini. Makalio laini, size flani, yakiambatana na mwondoko murua, ngozi bomba, wacha bwana...unatamani kuyaona then unayavutia hisia. Duh yakiwa ndani ya khanga ametoka kuoga na hajajifuta maji vizuri...duh walah ati lol. Huyu wa hivi akikutabasamia lazima umtongoze..
 
Nalala Usingizi nawaota wao . . . . Ikipiga Lagalaga nawaota wao

attachment.php
 
Kuangalia hakuna ubaya wowote, looking is allowed but not touching...

Na kwenye dala dala je? ha ha ha ha huko ni vurugu mechi tupu!!! njemba zinaweza kutoana macho kuwahi kukaa nyuma ya mwanamama mwenye wowowo la nguvu linaloweza kukupa mshtuko wa moyo ha ha ha Mie nilikuwa wa kwanza kufika hapa kabla yako 🙂 Noooooo! muulize huyu mama mwenyewe nani alikuwa kasimama nyuma yake kwa karibu dakika 15 sasa 🙂Huyu kaka mwemye shati jekundu na suruali nyeusi alikuwa kasimama nyuma yangu muda sasa ha ha ha kama sikosei nilipopanda tu pale kwenye kituo changu akawa nyuma yangu ha ha ha
 
Na kwenye dala dala je? ha ha ha ha huko ni vurugu mechi tupu!!! njemba zinaweza kutoana macho kuwahi kukaa nyuma ya mwanamama mwenye wowowo la nguvu linaloweza kukupa mshtuko wa moyo ha ha ha Mie nilikuwa wa kwanza kufika hapa kabla yako 🙂 Noooooo! muulize huyu mama mwenyewe nani alikuwa kasimama nyuma yake kwa karibu dakika 15 sasa 🙂Huyu kaka mwemye shati jekundu na suruali nyeusi alikuwa kasimama nyuma yangu muda sasa ha ha ha kama sikosei nilipopanda tu pale kwenye kituo changu akawa nyuma yangu ha ha ha


BAK!
Hujatulia!
 
Kwa hio ni kweli kuwa pamoja na mahangaiko yote haya sisi wanawake basicaly tunavutia kwa maumbile yetu? (mvuto wa kuonekana?)
Yani wowowo,
sura
miguu
ngozi
nywele
nk?
pls wanaume tu,
je wewe ni vipi vipaumbele vyako?
 
Back
Top Bottom