Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

Hapa kuna ishu gani tena?? Mara avatar mara Beauty...mara matumizi mengine...:confused2::A S confused:.....
Halafu huyu dokta aliyenianzishia midawa inayoingilia wikiend....:mad2:

Kiongozi umetokea gesti gani? Vipi vitanda vyake?:glasses-nerdy:
 
Ushuzi soo watu wanapagawa wakiona mdada ana ushuzi wa haja.
Ila wapo ambao maziwa huwa wanayapenda hasa yakiwa yamesimama dede
 
Ushuzi soo watu wanapagawa wakiona mdada ana ushuzi wa haja.
Ila wapo ambao maziwa huwa wanayapenda hasa yakiwa yamesimama dede
Kweli tumetofautiana...

Mi nikiona nyonyo kama kandambili za mkwea mnazi nakuwa hoi bin taaban!! Manake wakati unapotaka kufunga goli unayafanya kama manati....unayazungushia na kuyafungia mgongoni hakuna kubanduka mpaka mpira urudi kati.
 
Haya mambo bwana!
Leo nilikuwa busy Town hapa na pale , mambo ya kushangaza ni kwamba kila niliyekutana naye anafanania na Maudhui ya Topic hii!!! Mpaka nikashangaa!!!
Nafika hapa JF , Nakutana na hii Topic!!! Ki ukweli inapendeza kuangalia uumbaji wa MUNGU, Jinsi mungu anavyoweza kuumba namna apendavyo!! Inapendeza.
 
na wewe unapenda?
tupe sababu zako kabla ya wale wengine wanaopenda mawowo km wewe hawajatoa
 
Sarah Baartman - Wikipedia, the free encyclopedia hata ile meli ya magufuli imepewa jina la huyu mama:becky:
 
Mi napenda mwanamke mwenye meno mekunduuuu! Asiyejua kupiga mswaki anakuwa na added advantage..... Akiwa na vinyweleo miguuni basi mi habari yangu inakuwa kwishnei!!

Hili chaguo lako ni zuri maana unakuwa na uhakika una mega peke yako.
 
celebrating16-1243511092.jpg


Figa za Kibantu hizi.
 
Back
Top Bottom