Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

bria_myles_girl-mag.jpg

shem ushakutana na ngoma kama hizo? usiku unakuwa mdogo


Utafikiri katiwa upepo?mfadhaiko mkubwa Mmungu tuepushe tusije tukapotea njia
 
...listi ya wadau wa kujiexpress inaendelea

  1. FIDEL
  2. MASA...
  3. MSA...
  4. NDAHANI
  5. KIGOGO
  6. Yoyo
  7. Maane
  8. Lazy dog
  9. BAK
  10. BRAZAMENI
  11. KIFARU
  12. SONARA
  13. .......
Ongeza jina hapo......

Wewe Msanii acha hizo!!! Lini BAK alikwambia anapenda Tigo? Nilichosema ni kwamba haya mambo ya Tigo kama yanahusu mke na mume basi wenyewe waachiwe wafanye maamuzi yao bila kuingiliwa na society maana wako wanawake wanasema wanaenjoy sana hii kitu na ni part and parcel of their love making.

Maana huku kuingilia wanandoa katika nyumba zao kama kusipowekewa mipaka wengine watadai kwamba kitendo cha ndoa ni lazima kifanywe katika kifo cha mende tu au vinginevyo ni dhambi.
 
Je ni kwasababu gani wanaume wengi wako obsessed na the back side of a woman aka booty aka a*** aka patuty aka bumbum and all those names that have beened coined to to say just one part of a womans anatomy?

Sababu kubwa ni hizi..
1. Uzuri wa mwanamke kwao huanzia na kujaa kwa sehemu hizo.. kama mimi navyopenda kuona mguu wa mwanamke..haina maana natamani kuufanya kitu..
2. Umbo la mwanamke huwa lina sifa zake.. na mara zote makalio na ni sehemu moja kubwa ya uzuri huo hivyo yawezekana wapo wanaotazama kwa kushangaa kuona ukubwa wa kukithiri uzuri wa mwanamke na wapo wanao appreciate umbo la mwanamke huyo na wengine kusikitika kuona hamna kitu..
3. Ni mchanganyiko wa 1 na 2, ktk fikra za....kwa nini binadamu wanapotaka kitoweo..humchagua kuku aliyenona?..
- Kwa raha zako!
 
Sababu kubwa ni hizi..
1. Uzri wa mwanamke kwao huanzia na kujaa kwa sehemu hizo.. kama mimim navyopenda kuona mguu wa mwanamke..haina maana natamani kuufanya kitu..
2. Umbo la mwanamke huwa lina sifa zake.. na mara zote ****** ni sehemu kubwa ya uzuri huo hivyo yawezekana wapo wanaotazama kwa kushangaa kuona ukubwa wa kukithiri uzuri wa mwanamke na wapo wanao appreciate umbo la mwanamke huyo.
3. Ni mchanganyiko wa 1 na 2, ktk fikra za....kwa nini binadamu wanapotaka kitoweo..humchagua kuku aliyenona?..
- Kwa raha zako!

LOL! DR Love ahsante sana kwa ufafanuzi wako
 
bria_myles_girl-mag.jpg

shem ushakutana na ngoma kama hizo? usiku unakuwa mdogo

Hii picha ni ina range kutoka kwenye soft - to - medium pornography. Kitakachofuata punde si punde ni picha hardcore kabisa watu wanafanyana. Hivi kile chumba chenu na akina KIBS kimejaa?
 
M'One,

Wanawake wasio na hayo madude ya kuvutia bado wanapendeka ila hayo huongeza mvuto. Wengine wanayo ila huvaa in a way ambapo hayawi exposed. Maanake shida kubwa ni zile contours zinazoonesha mgawanyiko wake na ule ulaini wake.

kwa wenye wivu, hiyo ni pasua roho haswaa. Ndo maana wengine hawaamini kuwa wa kwao ni wao peke yao. Kwani huona jinsi vile vinavyowavutia wao vinawavutia na wengine. Sasa mkeo au bibiyo anayo ya haja halafu anayaachia wazi kwa vijinzi au vigauni vya kubana. Basi ni presha juuu, presha chini kwa mwenye mali hasa wanapoagana.

Wengine huishia kutoa amri ya uvaaji. Wengine hufa na Tai shingoni (wanaumia ila hawasemi). Wengine husema, aaa basi, namiye nitapakata jingine!

Ahaa sasa nimeelewa kwa nini culture nyingine zinashauri wanawake wayafunike gubigubi kabisa, yaani usione la wa kwangu na mimi nisione la wakwako full stop...



photostream
 
Mkuu Yo Yo hii kitu imenipa mfadhaiko jamani naenda kupumnzika maana nashindwa hata kupumua samahanini jamani.
 
WOWOWO a.k.a TUKUNYEMA ni mahala ambapo kwa mujibu wa maumbile ya akina mama ndipo panapohifadhiwa mafuta ya mwilini,kuongeza joto ili kukabilian na majukumu ya uzazi.

So the larger the Wowowo,the more mafuta mwilini hence more bodytemperature or heat.

Hivyo basi Wowowo hupelekea MAENEO YOTE kuwa na JOTO KUBWA/MOTO SANA.

Haijalishi kama wewe ni mtu wa kujiexpress urself or not,JOTO LA MWENYE WOWOWO ni kubwa kuliko na mwenye wowowo dogo.

LILE NI TANK LA MAFUTA KAKA.Enzi zile tulikuwa tunaita "TUKUNYEMA"
 
bria_myles_girl-mag.jpg

shem ushakutana na ngoma kama hizo? usiku unakuwa mdogo
Kama ni wikiendi ,mzigo kama huo mkulu unafanya kuwapa watoto hela ya kitafunio kwa mkono kutokeza kidogo tu mlangoni.

Mkulu unarudi kwenye 6 x 6 kuendeleza libeneke.Duh..
 
Bibie ndo mambo ya kuangalia uumbaji. Most men just see, appreciate and move on!..Lazima kuna kuzidiana uzuri/maumbo kati ya binadamu, na wewe kitu kikuduwazaa duwaa kweli ati.


Belinda na wewe si m'mke au jina tu? I wish ningekuwa na uwezo wa kuona furushi lako. Ukisoma kwa umakini maelezo yako hapo juu, inaonekana kunako mjadala umeumbika hasa!
 
...Orodha ya wazee wa mbolea inazidi kupata wazaliwa wapya...
  1. FIDEL
  2. MASA...
  3. MSA...
  4. NDAHANI
  5. KIGOGO
  6. Yoyo
  7. Maane
  8. Lazy dog
  9. BAK
  10. BRAZAMENI
  11. KIFARU
  12. SONARA
  13. Geof
  14. MKANDARA
  15. .......
Jamani shime tuongeze majina ya wanafamilia hapo hehehe....
 
Wewe Msanii acha hizo!!! Lini BAK alikwambia anapenda Tigo? Nilichosema ni kwamba haya mambo ya Tigo kama yanahusu mke na mume basi wenyewe waachiwe wafanye maamuzi yao bila kuingiliwa na society maana wako wanawake wanasema wanaenjoy sana hii kitu na ni part and parcel of their love making.

Maana huku kuingilia wanandoa katika nyumba zao kama kusipowekewa mipaka wengine watadai kwamba kitendo cha ndoa ni lazima kifanywe katika kifo cha mende tu au vinginevyo ni dhambi.

Dah. Mkuu samahani ila hizo post zako zilipitia kwa wataalam wa saikolojia wakagundua kuwa na wewe ni miongoni mwao mwa haoo akina FIDEL, MSA, MASA.... na kazalika.

Usihihofu shekhe mambo madogo hayo
 


muulize huyo wa kulia atakupa jibu zuri kuliko wote hapa jamvini
 
Lakini mnatukera cc wanawake na hiyo tabia yenu...hata mkiwa na wake zenu mnashindwa kujizuia.....manakodorea hadi linatokomea.....atleast show a respect when you are with your woman around....

Ngumu dada
 
Kama ni wikiendi ,mzigo kama huo mkulu unafanya kuwapa watoto hela ya kitafunio kwa mkono kutokeza kidogo tu mlangoni.

Mkulu unarudi kwenye 6 x 6 kuendeleza libeneke.Duh..

Duh mkuu hiyo imenikumbusha mbali kweli...hakuna kitu kinaudhi kama ndo unatoa mkono unakabidhiwa barua kutoka hizi academy zetu unatakiwa ada....damn...
 
Dah. Mkuu samahani ila hizo post zako zilipitia kwa wataalam wa saikolojia wakagundua kuwa na wewe ni miongoni mwao mwa haoo akina FIDEL, MSA, MASA.... na kazalika.

Usihihofu shekhe mambo madogo hayo

Bila samahani Msanii.
 
Back
Top Bottom