Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT Wazalendo ndio hiyohiyo CCMNimeona post ya chama cha ACT WAZALENDO wakidai kuwa wameweka kwapuni wanachama milioni 10 katika majimbo 214 nchini ,naona hizi data ziko kifeki feki kiasi kwa chama ambacho hakina hata miaka View attachment 3115453
Wamewaiga chama chao mama ccm kwenye kupika data. Kama ccm ina miaka 50 bado inapika data, unategemea nini kwa vyama ambavyo ni matawi yake?Nimeona post ya chama cha ACT WAZALENDO wakidai kuwa wameweka kwapuni wanachama milioni 10 katika majimbo 214 nchini ,naona hizi data ziko kifeki feki kiasi kwa chama ambacho hakina hata miaka View attachment 3115453
Uongo wanajitahidi kuwasaidia ccm kuonekana kugawanya kura halafu ionekane ccm wameshinda. Watuache waende Zanzibar walikouza chama.Nimeona post ya chama cha ACT WAZALENDO wakidai kuwa wameweka kwapuni wanachama milioni 10 katika majimbo 214 nchini, naona hizi data ziko kifeki feki kiasi kwa chama ambacho hakina hata miaka.
View attachment 3115453
ACT wazalendo na CUF Ni CCM b.Nimeona post ya chama cha ACT WAZALENDO wakidai kuwa wameweka kwapuni wanachama milioni 10 katika majimbo 214 nchini, naona hizi data ziko kifeki feki kiasi kwa chama ambacho hakina hata miaka.
View attachment 3115453
huenda ni kweli kabisaa maana chadema haina wanachama tena...Nimeona post ya chama cha ACT WAZALENDO wakidai kuwa wameweka kwapuni wanachama milioni 10 katika majimbo 214 nchini, naona hizi data ziko kifeki feki kiasi kwa chama ambacho hakina hata miaka.
View attachment 3115453