SOSDANNY
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 453
- 444
Za mchana wakuu.
Nilipigiwa simu na ndugu yangu alioko mbali na ninapoishi. Akaniambia kuwa anahitaji nimsaidie ada ya mtihani wa form four,nikamuliza ni shilingi ngapi? akaniambia Tshs 50,000/= Nikashangaa!! Nikajua anataka kunipiga changa la macho. Wananchi hebu mnifahamishe ni kweli? Kama ni kweli nyinyi wananchi mnasemaje? Binafsi kama ni kweli naona hayo maisha bora kwa kila mtannzania hayapo. Kwa walioko mjini hebu tujadili hili.
Nilipigiwa simu na ndugu yangu alioko mbali na ninapoishi. Akaniambia kuwa anahitaji nimsaidie ada ya mtihani wa form four,nikamuliza ni shilingi ngapi? akaniambia Tshs 50,000/= Nikashangaa!! Nikajua anataka kunipiga changa la macho. Wananchi hebu mnifahamishe ni kweli? Kama ni kweli nyinyi wananchi mnasemaje? Binafsi kama ni kweli naona hayo maisha bora kwa kila mtannzania hayapo. Kwa walioko mjini hebu tujadili hili.