je ni kweli alivyoimba remmy...siri ya usingizi ni mke?

je ni kweli alivyoimba remmy...siri ya usingizi ni mke?

Labda inatakiwa kubadili mazoea. Styles mpya na pia sehemu mnazofanyia, sio kila siku kitandani na styles zile zile lol! Nyumba ndogo huwezi kulinganisha na mke, yeye ni kama mwizi tuu, hivyo anachakarika, anataka kesho urudi tena. Mke anajisahau , anajua ni mme wangu tayari.
 
Jamani c utani.mwaka wa kwanza nilipooa nilikuwa naweza piga raund kama nne hivi na my wyf.lakini baada ya mwaka ama miwili shoti moja tu nalala kama gogo.je? wadau niko peke yangu ama hiyo ndio siri ya usingizi??

Sasa ndugu yangu na wale mapacha wanaokuchanganya mtaani kwenu itakuwaje? kumbe umeoa!!!!
Anyway...
Majukumu mwili na akili inakuwa imechoka, unatafuta bao moja lausingizi basi. Mimi nina miaka 7 katika ndoa mwaka jana niliumwa kwa miezi kadhaa, nikashindwa kukutana na mume wangu, cku moja nikaamua kumwambia jinsi ninavyoumia kwa kutompa........ , akanijibu sio issue hata yeye hana hamu ya........ kabisa cku hizi, mmh nilishangaa na bado sijapata jibu inawezekana kweli as young, energetic hata 40 yrs bado!!! naomba ushauri
 
Sasa ndugu yangu na wale mapacha wanaokuchanganya mtaani kwenu itakuwaje? kumbe umeoa!!!!
Anyway...
Majukumu mwili na akili inakuwa imechoka, unatafuta bao moja lausingizi basi. Mimi nina miaka 7 katika ndoa mwaka jana niliumwa kwa miezi kadhaa, nikashindwa kukutana na mume wangu, cku moja nikaamua kumwambia jinsi ninavyoumia kwa kutompa........ , akanijibu sio issue hata yeye hana hamu ya........ kabisa cku hizi, mmh nilishangaa na bado sijapata jibu inawezekana kweli as young, energetic hata 40 yrs bado!!! naomba ushauri

while not rulling out other possibilities, niseme tu kwamba huenda kuumwa kwako pia kumemwathiri sana kisaikolojia, ijapokuwa hujawa wazi sana kama wakati unaumwa alikuwa na wewe au la? na je zamani ilikuwaje, nk, huenda kama ukipona kabisa, mambo yatarudi kama mwanzoni....ni suala la muda tu...na je mna watoto?
 
while not rulling out other possibilities, niseme tu kwamba huenda kuumwa kwako pia kumemwathiri sana kisaikolojia, ijapokuwa hujawa wazi sana kama wakati unaumwa alikuwa na wewe au la? na je zamani ilikuwaje, nk, huenda kama ukipona kabisa, mambo yatarudi kama mwanzoni....ni suala la muda tu...na je mna watoto?

Wakati wa kuumwa kwangu tuko wote and he was taking care of me...Zamani ilikuwa superb am ready... he is ready to go....ila cku hizi du ufanye kazi kidogo. Labda mambo yatarudi kama mwanzoni. Tuna watoto wawili, lastborn ana miaka 3.
 
nkawa,mapacha kunichanganya sio ishu kwa sababu nikishalamba mmoja @least ntakuwa nimepata jawabu kwa shida yangu na my wyf.kwa saa hizi cjui kama yeye anaugua kama unavyougua na hasemi ama mie ndio nina problem.najua nikichapa raund 3 hivi kati ya hao mapacha bas mchezo goli,ntajua shida ni ni wyf sio mimi.
 
Wakati wa kuumwa kwangu tuko wote and he was taking care of me...Zamani ilikuwa superb am ready... he is ready to go....ila cku hizi du ufanye kazi kidogo. Labda mambo yatarudi kama mwanzoni. Tuna watoto wawili, lastborn ana miaka 3.

yeah, sasa unaona,,, nadhani ni stress hizo za kuumwa,na kutunza watoto, lakini u need to get back to ur old days, lakini sio in terms of idadi ya magoli, ila quality of the game....
 
Back
Top Bottom