Je, ni kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu kama wanavyojinadi?

baada uzingatie maswala ya msingi wewe unazingatia stori za utani , jitafakari mkuu kuna namna ccmu imekuvuruga akili
 
Chadema ni magaidi yanayojinasibisha na mungu,kumbuka mabomu waliyojipiga pale Arusha kwenye mkutanao wao.
 
Chadema ni magaidi yanayojinasibisha na mungu,kumbuka mabomu waliyojipiga pale Arusha kwenye mkutanao wao.
wale waliokutwa kwenye viloba waliuliwa na chadema , Roma je ? Ney kutekwa ? Mo Dewji kutekwa ? Baghdad ? Babu Seya ? Akwelina ? Ulimboka ?

ccmu inakulipa tsh ngap kuja kujidharirisha huku ?
 
wale waliokutwa kwenye viloba waliuliwa na chadema , Roma je ? Ney kutekwa ? Mo Dewji kutekwa ? Baghdad ? Babu Seya ? Akwelina ? Ulimboka ?

ccmu inakulipa tsh ngap kuja kujidharirisha huku ?
Kama umezoea kupewa vijipesa na Mabwana zako wa chadema, huku ccm tunaongozwa na uzalendo kwa taifa letu.
 
Kama ni yule mungu wa dunia hii ambaye anapofusha macho ya watu basi ni sawa.
 
Huo ndio ukweli na ndio maana mashetani wanahangaika kuifuta kuwaua Viongozi wake kuwabambikizia kesi za ugaidi lakini kwa kuwa Ni Mpango wa Mungu "Wameshindwa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…