mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
Nina imani Mshana Jr. atakuja na majibu mwafaka kuhusu Uzi huyu.
sifikiri kama ni mchawi ila naona jamaa ana elimu ya nguvu za giza ngoja nikuitie Mshana JrYeye mchawi au mganga
Ya ganja nimeisikia juzi. We wa pili kulisema.Hata ganja naskia nayo kinga
Yeye si mganga wala mchawi, bali ni mtu mwenye ufahamu mkubwa kuhusu mambo ya ulozi.Yeye mchawi au mganga
Mda wa waganga kuvunaNowdays naona mada za uchawi na urozi zinashika kasi, nini sababu au sababu ni octoba ..?
Hata Kama hayapo haimaanishi hayapoWatu bado mna imani na mambo ya kijinga kama uchawi? Mambo ambayo hayapo?
Dawa ya uchawi na wachawi ni Yesu Kristo pekee. Jifunze kutumia nguvu na mamlaka kutoka kwa Yesu na utakuwa juu ya wachawi na uchawi wao.Bado sijajua siri iliyojificha kwenye chumvi na mkaa. Wengi hutumia kama kinga dhidi ya uchawi na ushirikina. Wengine huweka kitandani au nani ya unga na mchele ili kuzuia chuma ulete.
Matumizi ya mkaa na chumvi yanajulikana kite kama kinga dhidi ya nguvu za Giza.
Swali ni je kuna nini ndani ya mkaa na chumvi hat izuie uchawi na ushirikina, au mkaa na chumvi ni ushirikina pia?
Karibu
Uchawi haupo.Hata Kama hayapo haimaanishi hayapo
Bado sijajua siri iliyojificha kwenye chumvi na mkaa. Wengi hutumia kama kinga dhidi ya uchawi na ushirikina. Wengine huweka kitandani au nani ya unga na mchele ili kuzuia chuma ulete.
Matumizi ya mkaa na chumvi yanajulikana kite kama kinga dhidi ya nguvu za Giza. Swali ni je kuna nini ndani ya mkaa na chumvi hat izuie uchawi na ushirikina, au mkaa na chumvi ni ushirikina pia?
Karibu