ben milazo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 995
- 674
distance hiyo usiombe akakutana na vijana wanaojua kula udamvu udamvu#lazima aliwe lbda awe malaika atapona napo aoneshe mabawa akificha wanapitia chezea wana koromijeee ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uaminifu unapungua, mfano sisi wanaume wengi hatuwesi kukaa muda mrefu bila kusex, sasa ukikutana na mwanamke mwingine "MKALI" ni rahisi kusaliti mahusiano, kwa wanawake mara nyingi wakikosa kampani (physically) ni rahisi sana kudanganyika na kuchukuliwa na wengine, kuna kipindi unaweza pata demu mzuri mpk ukajishangaa kakupendea nn sometimes ni sababu jamaa yake yuko mbali........Hebu funguka ... kivp ni kikwazo mkuu?
Tegemea na tabia zenu.. Na pia fimbo ya mbali...