Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamechoka sana kwa sasa. Simba ianze kutafuta watu wapya kwenye safu ya ushambuliaji.[emoji23][emoji23]duh mkuu bila shaka una hasira sana na hao maveteran
Tatizo ni mbadala wake kipindi hiki tuko kwenye mashindano makubwaKwanini asiruhusiwe mkuu...imagine Chiefs Wakaweka milioni 300 unadhani simba watazikataa?
Ni kweli mkuu lazma timu iwe na Alternative Finishers kwamba hata ikitokea situation kama hii huanzi upya bali unaprogress tu na wengine.
Aisee halafu kweli salamba bado hajatuliza kichwa japo ni striker mzuri sana...kuhusu ishu ya kichuya kupenda 0715..nimeisikia ila sina hakika kama inapelekea kuporomosha kiwango chake.Salamba hajawa wa kuaminiwa, Kichuya naye kuna mdau niliona humu kaweka taarifa zake kuwa ya Tanga inamharibu sijui kawaje siku hizi.
ni kweli ila itasikitisha sana akiuzwa kipindi hiki,Ni kweli kaka ila pesa ina tabu zake...kumbuka kuwa Simba bado hawajasahau yale masaibu ya Etoile Du Sahel.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiwango chake kiko chini kwa sasa. Ila hii ilikuwa nafasi ya wao kuonesha kuwa wanaweza ila wanakubali kupigwa na Mashujaa sasa watapewa mechi zipi!Aisee halafu kweli salamba bado hajatuliza kichwa japo ni striker mzuri sana...kuhusu ishu ya kichuya kupenda 0715..nimeisikia ila sina hakika kama inapelekea kuporomosha kiwango chake.
HakikaUpo sahihi kaka iwapo Okwi atauzwa sasa itakuwa bonge la Pata potea kwa simba.
Kiukweli inasikitisha sana... kama ni kweli basi hiyo inayomtafuna itakuwa ni laana ya kupenda "Mitaro" ovyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiwango chake kiko chini kwa sasa. Ila hii ilikuwa nafasi ya wao kuonesha kuwa wanaweza ila wanakubali kupigwa na Mashujaa sasa watapewa mechi zipi!
0713 atajua mwenyewe, ila jana mdau mmoja alisema hilo humu.
Kiukweli inasikitisha sana... kama ni kweli basi hiyo inayomtafuna itakuwa ni laana ya kupenda "Mitaro" ovyo.
Sijui huwa tunakosea wapi mkuu...kifupi ni kwamba mechi ya jana imeniuma kuliko maelezo.Wachezaji wa Simba wanakosa nini hadi washindwe kuonesha thamani ya timu?
Timu ya Yanga inaweza kuvumilia vikwazo zaidi ya Simba hilo liko wazi, hii hali waliyonayo Yanga ingekuwa kwetu hakika tungekuwa tunajinasua kwenye nafasi ya 10 sasa hivi.