Je, ni kweli fimbo ya Musa iliyogeuka nyoka ilikwenda kukaa Congo ambako mpaka leo madini yanapatikana?

Je, ni kweli fimbo ya Musa iliyogeuka nyoka ilikwenda kukaa Congo ambako mpaka leo madini yanapatikana?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Penye mali lazima kuwe nyoka. Hii haijadiliwi sana kwenye imani tulizopo nazo ila sehemu za upande wa nguvu za giza nyoka ni ishara ya utajiri na mali n.k.

Kwenye pesa ishara nembo nyoka yupo,kwenye kila jambo lenye mafanikio nyoka utumika. Si wageni kusikia story au mengineyo sehemu yenye mali kama madini kuwa na nyoka wengi.

Nyoka huyu kila kabila umtaja kwa jina lake. Na kumbuka miaka ya nyuma nilikutana na mjapani akinieleza kuhusu nyoka wao wanao muamini kwa jina dragoni ambao wao wanadai yupo congo na kama ukibahatika kumpata tegemea kuwa na nguvu kubwa.

Upande wa wanaoamini kiimani wanadai nyoka huyu alikuwa kwenye fimbo ya musa na baada ya kujigeuza kwenda kuishi congo. Farao alitaka ile fimbo kwa mussa aya kuongelewa makubaliano kipindi kile ni kweli.
 
penye mali lazima kuwe nyoka.hii ijadiliwi sana kwenye imani tulizopo nazo ila sehemu za upande wa nguvu za giza nyoka ni ishara ya utajiri na mali n.k.

a aya kuongelewa makubaliano kipindi kile
ni kweli
🤣🤣🤣bora hata ungesema merely ni kongo na uyahudi wap na wap?
 
Penye mali lazima kuwe nyoka.hii ijadiliwi sana kwenye imani tulizopo nazo ila sehemu za upande wa nguvu za giza nyoka ni ishara ya utajiri na mali n.k.

Kwenye pesa ishara nembo nyoka yupo,kwenye kila jambo lenye mafanikio nyoka utumika. Si wageni kusikia story au mengineyo sehemu yenye mali kama madini kuwa na nyoka wengi.

Nyoka huyu kila kabila umtaja kwa jina lake. Na kumbuka miaka ya nyuma nilikutana na mjapani akinieleza kuhusu nyoka wao wanao muamini kwa jina dragoni ambao wao wanadai yupo congo na kama ukibahatika kumpata tegemea kuwa na nguvu kubwa.

Upande wa wanaoamini kiimani wanadai nyoka huyu alikuwa kwenye fimbo ya musa na baada ya kujigeuza kwenda kuishi congo. Farao alitaka ile fimbo kwa mussa aya kuongelewa makubaliano kipindi kile
ni kweli
...Umeandika nini Sasa ?...[emoji57][emoji57]
 
Wee shetani ni kwelii wazungu washawahi liona hilo jokaa
 
Congo hii hii ya kina fiston Mayele, Lomalisa mutambala na litombo bangalaaa?? Haya mageni masikioni mwangu.
 
Back
Top Bottom