Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 425
Kwa iyo laki sita ujawafuatilia??
tatizo la wengi wetu huwa tukulizwa tunanyamaza au tunapiga nguo chini kama alivyofanya Mamndenyi.
hawa jamaa si wa kuwaacha hata kidogo! ndio maana wakati mwengine nawapongeza wale ndugu zangu wanaouza ng'ombe kwa kesi ya kuku..
Last edited by a moderator: