Je, ni kweli hili jambo linafanyika kimya kimya huko Tamisemi?

Je, ni kweli hili jambo linafanyika kimya kimya huko Tamisemi?

Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.

Mtakumbuka Rais magufuli alitoa kibali cha kuajiri walimu 13,000 ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu nchini.

Katika kibali hicho, serikali iliamua kutoa ajira hizo katika awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza zilitolewa ajira 8,000 zikasalia ajira 5,000 ambazo pia zinatarajiwa kutolewa karibuni.

Kufuatia hatua hiyo kuna rumors za chini ya kapeti zinadai kwenye ajira 5,000 zilizobaki kuna mchakato wa kutumia watu barua za ajira toka Tamisemi na kuajiri watu kimya kimya unaendelea kufanyika.

Rumors hizo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali katika mitandao ya kijamii ikiwemo face book, whatsapp, hapa jamii forums na kwingineko.

Haya ni baadhi ya mambo waliyoandika wadau kuhusiana na rumors hizo,

View attachment 1693059
Baadhi ya maoni ya wadau wa hapa jamii forums pia wameandika
View attachment 1693069
View attachment 1693071
Kutokana na rumors hizi kusemwa semwa sana inaonyesha kuna ukweli fulani kuhusiana na hili jambo hivyo nimeonelea nililete hapa jamii forums sehemu ambapo watu wanaweza kulizungumza kwa uhuru na uwazi ili watu waseme ukweli juu ya kinachoendelea.

Je, ni kweli kuwa watu wamepewa barua za ajira ya ualimu na wanaendelea kuajiriwa kimya kimya na ofisi ya Rais-Tamisemi?
Hili jambo si geni, lina mizizi tayari. Rudisha kumbukumbu zako kwa mlio hitimu nao walio kuwa na majina ya nasaba za kigogo yeyote. Hakuna interview walio hudhuria na wanakazi nzuri serikalini. Jkt imesitishwa kwa 'uhuni' kama huo. Wanao jitolea wamo watoto wa wakubwa na ndio hupewa nafasi za kazi zikitokea.
 
Leta uthibitishoo. Vinginevyo, hizo ni porojoo


Sikiliza hiyo video kisha twambie walimu 5000 anaosema PM kwamba wamesambazwa wiki mbili zilizopita wameajiriwa kwa utaratibu upi?
 

Attachments

  • VID-20210211-WA0009.mp4
    3.1 MB
View attachment 1711198
Sikiliza hiyo video kisha twambie walimu 5000 anaosema PM kwamba wamesambazwa wiki mbili zilizopita wameajiriwa kwa utaratibu upi?
Unakumbuka kama nafasi zilizotangazwa mwanzoni kuwa ilikuwa elfu kumina tatu, halafu awamu yakwanza wakaenda elfu nane? Sasa si ndio inamalizika hiyo elfu tano? Ilikutimiza elfu kumi na tatuu?? Au nimesema uongo ndugu zangu??. Halafu inawezekana kule wizarani wanawatu wengi walioomba, hivyo nikuchomoa tuu kutoka mwa watu wengiii. We we leta jina LA mwajiriwa hata mumoja ambae ameajiriwa bila kutuma maombiiii.
 
Unakumbuka kama nafasi zilizotangazwa mwanzoni kuwa ilikuwa elfu kumina tatu, halafu awamu yakwanza wakaenda elfu nane? Sasa si ndio inamalizika hiyo elfu tano? Ilikutimiza elfu kumi na tatuu?? Au nimesema uongo ndugu zangu??. Halafu inawezekana kule wizarani wanawatu wengi walioomba, hivyo nikuchomoa tuu kutoka mwa watu wengiii. We we leta jina LA mwajiriwa hata mumoja ambae ameajiriwa bila kutuma maombiiii.
Lakini kawaida lazima ajira zote zitangazwe hadharani sasa elfu tano walioajiriwa kutimiza idadi ya walimu elfu kumi na tatu wameajiriwa kwa utaratibu upi?kama ni kimya kimya unachopinga kwenye uzi huu ni nini sasa?
 
Lakini kawaida lazima ajira zote zitangazwe hadharani sasa elfu tano walioajiriwa kutimiza idadi ya walimu elfu kumi na tatu wameajiriwa kwa utaratibu upi?kama ni kimya kimya unachopinga kwenye uzi huu ni nini sasa?
Si walitangaza elfu 13, awanu ya kwanza elfu8 na si ndo watakuwa wamemalizia hao elfu 5 kutimiza idadi kamili?? Au hukuomba kipindi kilee??
 
Walimu mbona mnafikiria kuajiliwa tu? Tz vyuo vinatoa walimu pekee? Mtu kasoma arts nae anataka ajira dunia ya Leo! Tamisemi kama kweli ajira mnazo ajirini walimu wa sayansi tu.
 
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.

Mtakumbuka Rais magufuli alitoa kibali cha kuajiri walimu 13,000 ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu nchini.

Katika kibali hicho, serikali iliamua kutoa ajira hizo katika awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza zilitolewa ajira 8,000 zikasalia ajira 5,000 ambazo pia zinatarajiwa kutolewa karibuni.

Kufuatia hatua hiyo kuna rumors za chini ya kapeti zinadai kwenye ajira 5,000 zilizobaki kuna mchakato wa kutumia watu barua za ajira toka Tamisemi na kuajiri watu kimya kimya unaendelea kufanyika.

Rumors hizo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali katika mitandao ya kijamii ikiwemo face book, whatsapp, hapa jamii forums na kwingineko.

Haya ni baadhi ya mambo waliyoandika wadau kuhusiana na rumors hizo,

View attachment 1693059
Baadhi ya maoni ya wadau wa hapa jamii forums pia wameandika
View attachment 1693069
View attachment 1693071
Kutokana na rumors hizi kusemwa semwa sana inaonyesha kuna ukweli fulani kuhusiana na hili jambo hivyo nimeonelea nililete hapa jamii forums sehemu ambapo watu wanaweza kulizungumza kwa uhuru na uwazi ili watu waseme ukweli juu ya kinachoendelea.

Je, ni kweli kuwa watu wamepewa barua za ajira ya ualimu na wanaendelea kuajiriwa kimya kimya na ofisi ya Rais-Tamisemi?
OK za kuambiwa tunachanganya na za shuleni
 
Si walitangaza elfu 13, awanu ya kwanza elfu8 na si ndo watakuwa wamemalizia hao elfu 5 kutimiza idadi kamili?? Au hukuomba kipindi kilee??
Kwahiyo umekiri kwamba ajira zimetolewa kimya kimya sa ulichokuwa unabisha ni nini?
 
Walimu mbona mnafikiria kuajiliwa tu? Tz vyuo vinatoa walimu pekee? Mtu kasoma arts nae anataka ajira dunia ya Leo! Tamisemi kama kweli ajira mnazo ajirini walimu wa sayansi tu.
Mkuu si na wewe ufungue uzi uzungumzie field yako kwani kuna aliye kuzuia?
 
Back
Top Bottom