Dogo nature has given everything, ni vile umechagua madawa ya famasi lakini isikufanye kujiona msomi ukadharau asili. Kila kitu kina mitishamba yake ni suala lankuijua tu. Kama haujui kaa kimya usijifanye daktari. Unaonekana mpumbavu unapokanusha kitu bila ushahidi halafu watu wapo na ushahidi wamekuangalia tu.