Yan ww ni jinsi gan unaonesha hauna akili hata kidogo,tena ww ni wale walikwenda vitan lkn walikuwa hakuna wanachokijua hata kdg..unajisifia umekaa mton na kisu ulijiuliza kwnn wamekupa kisu baada ya bunduki?ulipewa kisu ili uwapikie wanaume wale ndo maana ulikuwa unashinda mton kuvua samaki..lkn kwenye battle ground haukosogea,kwa taarifa yako Iddi amin hakuwa katiri km ulivyodanganywa,ile ni order kutoka kwa malkia Elizabeth Iddi amin aondolewe madarakan ikatafutwa sababu na babu yetu JK na kutuaminisha kwamba yule mtu katiri na anataka kuchukua sehemu ya ardhi yetu..mimi nafanya shughur zangu nchin Uganda wenyewe mpk leo wanakili hakuna kiongoz aliekuwa bora km Iddi AMIN.hizo ni propaganda kwa waelevu km sisi hatuziamin,ww baki na ujinga wako unajisifia umri wkt huna lolote zaidi unakashifu dini za watu pumbavu mkubwa ww.