Je ni kweli Idd Amin alikuwa anateka maadui zake, anawakata kichwa, anaweka kwenye Friji?

Je ni kweli Idd Amin alikuwa anateka maadui zake, anawakata kichwa, anaweka kwenye Friji?

Yan ww ni jinsi gan unaonesha hauna akili hata kidogo,tena ww ni wale walikwenda vitan lkn walikuwa hakuna wanachokijua hata kdg..unajisifia umekaa mton na kisu ulijiuliza kwnn wamekupa kisu baada ya bunduki?ulipewa kisu ili uwapikie wanaume wale ndo maana ulikuwa unashinda mton kuvua samaki..lkn kwenye battle ground haukosogea,kwa taarifa yako Iddi amin hakuwa katiri km ulivyodanganywa,ile ni order kutoka kwa malkia Elizabeth Iddi amin aondolewe madarakan ikatafutwa sababu na babu yetu JK na kutuaminisha kwamba yule mtu katiri na anataka kuchukua sehemu ya ardhi yetu..mimi nafanya shughur zangu nchin Uganda wenyewe mpk leo wanakili hakuna kiongoz aliekuwa bora km Iddi AMIN.hizo ni propaganda kwa waelevu km sisi hatuziamin,ww baki na ujinga wako unajisifia umri wkt huna lolote zaidi unakashifu dini za watu pumbavu mkubwa ww.
Tena inasemakana TZ ilikuwa tunachapwa mbaya ile vita ya kagera bila msaada wa ndege za israel kusaidia TZ ilikuwa tumekwisha
 
Acha ushamba....!kumbuka wkt ile technogy ya video ilikuwa hadimu.....!

Kama aliweza kuteka watu na kuwapakia kwenye tipa na kwenda kuwamwaga mtoni,nimesahau kdgo jina la mto,angeshindwa nini kukata vichwa vyao akiwa tiari ashawaua....

Na ukisubiri ushahidi wa video za Iddy Amin humu utakaa sana kijana.
Hizo propaganda tu
 
Kwani amin alipigwa alikuwa na kosa gani?ni chokochoko za wagalatia. Kumuondoa...ww fuatilia viongozi waliokuwa madarakani wakati huo..kenya
.tanzania..uganda wote walikuwa roman Catholic... Na kisa ni kujengwa chuo cha kikuu cha KIISLAM.. Kisa hakuna..sasa kuna muuaji akajenga chuo cha dini?
Ungeishi kagera wakati huo na kupata athari ya moja kwa moja kutoka kwa majeshi ya nduli usiangeandika pumba hizo.
Wafuasi wa dini ya magaidi na mashweitani akili zenu mnazijua wenyewe.
Mko tayari kumsafisha shetani afanane ilimradi tu anaweza kukiri shahada
 
Ungeishi kagera wakati huo na kupata athari ya moja kwa moja kutoka kwa majeshi ya nduli usiangeandika pumba hizo.
Wafuasi wa dini ya magaidi na mashweitani akili zenu mnazijua wenyewe.
Mko tayari kumsafisha shetani afanane ilimradi tu anaweza kukiri shahada
Mambo km hayo huwezikujuwa mtu kama wewe..... YULE alipigwa sababu hiyo....na ile ya kumpinduwa OBOTE kama sijakosea...alipompinduwa tu uhasama na tz na kenya ukaanza...na pale ilikuwa ni uganda before..
 
MIMI NI MTAALAM WA HISTORI TENA NAIPENDA SANA ILA INANIUDHI KITU KIMOJA KUBADILISHA UKWELI NA KUWEKA CHUMVI KWA MASLAHI FULANI YA WATU FULANI.
YAFUATAYO NI MATUKIO YA KIHISTORIA YALIYOTIWA CHUMVI;
1. VITA VYA MAJI MAJI
Hivi ni vita vilivyohusisha makabila ya kusini mwa Tanganyika wakiwemo Wamakonde,Wangindo,Wandengereko,Wamwera,Wamakua,Wayao,Wasegeju n.k chini ya Kinjekitile ngwale wa Ngarambe.
UONGO: watu wamedanganywa kuwa Kinjekitile aliwalaghai wafuasi wake kuwa wakinawa maji ya mto Rufiji yaliyochanganywa na nafaka risasi za Mjerumani hazitowapata na wao wakafanya hivyo.
UKWELI: Ile ilikuwa na vita ya kiimani yani Waislamu wa kusini mwa Tanganyika na Mjerumani walikuwa wanaitia uzu kabla ya vita(Jihad).
2. MAUAJI YA KIMBALI
Ni mauaji yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 baada ya Rais wa Rwanda kuuwawa kwa kulipuliwa kwenye ndege aliyokuwemo.
UONGO:Watu wameaminishwa kuwa Wahutu waliwauwa Watusi wengi.
UKWELI:Hakuna ushahidi wa uhakika unaothibitisha kuwa Wahutu waliwauwa Watusi wengi kama tulivyoaminishwa.
3. MKWAWA KUJIPIGA RISASI
Ni tukio alilolifanya Mtwa Mkwavi Mkwavinyika Mkwawa baada yakuzidiwa na wanajeshi wa kijerumani.
UONGO:Tunaambiwa Mkwawa alijiua kwa mkono wake mwenyewe.
UKWELI:Bado kuna utata ya kuwa alijiua mwenyewe au aliuliwa mana inasemekana Wajerumani walificha ukweli kwa kuhofia kuja kushtakiwa kwa kuuwa Wahehe na kiongozi wao mana kitendo walichofanya ni cha kivamizi na mfano tumeona hivi karibuni Mbunge mmoja alileta hoja ya kuidai Ujerumani kwa uhalifu wa vita vya Maji maji na Namibia waliwadai pia Ujerumani kwa maafa yaliyotokea kwenye vita ya Mjerumani na Nama na Herero.
4.Kuuwawa kwa John F. Kennedy
Ni tukio la kupigwa risasi kwa Rais wa Marekani John Kennedy.
UONGO:Wapo wanaoamini aliuliwa kwa kuwakera Wamarekani kwa kitendo cha kukubali kuondoa Mabomu ya masafa marefu yaliyopo Uturuki ambayo yalielekezwa USSR na wengine wanadai ni mgogoro wa Vietnam ni chanzo cha kifo chake.
UKWELI:Hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa chanzo cha kifo chake mana muuaji bwana Lee Edward nae aliuliwa kupoteza ushahidi.
5.IDD AMIN DADA KUWEKA VICHWA VYA MAADUI KWENYE JOKOFU
UONGO:Kudai kuwa alikuwa anawakata vichwa na kuweka kwenye friji.
UKWELI:Hakuna mwenye ushahidi wa moja kwa moja mana watu husema"ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya" kwaiyo hatuwezi kusema ni kweli kwa asilimia zote kwenye hii Dunia iliyojaa propaganda,uvumi,uzushi na uongo.
 
Amin alikuwa vizuri tu, sema nyerere aliingizwa chaka akaaminishwa amin ni mbaya anakula watu.. mzee nae bila kufikiri akaingia vitani, na ukumbuke kipindi hicho uchumi wa tanzania unaeleweka viwanda vingi vinafanya kazi, na mzee hataki madini ya chimbwe na hanampango wakukopa kwenye mabenki yao na yeye ndiyo alikuwa kiherehere wa africa iungane, wazee wa op wakaingia kazini japokuwa alishinda vita lakini tanzania yetu ikawa imejifia @Real Situation bob marley
 
Jee hayo tuliyajua kabla ya vita ya kagera? Hapana ile ilikua ni propaganda ya kivita. Unapigana na adui kwa silaha na maneno ya kukuchafua ili watu wako wakuchukie

Ule ulikua uchochezi
 
Hakuwahi kumuua RAIA wake ... Nae Jk akawa anamuhifadhi Obote ...
Haya mambo mawili niliyoyanukuu yananifanya nitumie shaka majibu yako kuhusu mada husika. Hivi kweli leo hii unaweza kukanusha kuwa Amin hakuua watu? Hivi umewahi kumsikia Askofu Mkuu Janan Luwum? Alikufaje huyu? Na aliyekuwa Waziri wa Sheria, Benedicto Kiwanuka, alikufaje? Hao ni wachache tu. Na askari wengi wa kabila la Acholi na Lango walipoteaje katika makambi ya jeshi? OK, Amin hakuua RAIA wake, sawa!

Halafu unavyodai kuwa JK alimhifadhi Obote are you serious na mada kweli? Labda ni JK ambayo wengi hatumfahamu!
 
Wewe ulikuwa hujazaliwa. Mimi sihitaji kufuatilia kwa kuwa nimekwenda uganda kumfurusha. Nimeingilia mtukula tunatembea mitoni na visu mamba nje nje. Nimekaa juba mwaka mmoja nikarejea hapa.

Unataak kuleta mambo ya kike barazani pa wanaume? Huyo mungu wenu bila shaka tawapa thawabu kubwa sana kwa kujitwika kazi yake ya uwongo!.

Siwezi kusema mengi kwa kuwa niko kwenye kiapo. Lakini huo ujinga wenu ishia huko huko vibarazani.

Mijitu mingine inaleta hapa hadith iza kwenye vijiwe vya kahawa wakti wanaume tumepigana msitu mnene hadi kupoteza mapeki!

Waganda gani wamekuambia wanajuta kwa idi amini? Bila shaka weweni punguani na wote wanaokusupot ni wale wale wabeba majambia.
Kwenda kwako Uganda kupigana hakumfanyi Idd Amin awe mbaya mkuu kwa hiyo sababu umeyumba, ni watu wangap wanaenda kwenye vita au operation mbalimbali ambazo hawajui ukweli au undani wake. Unaweza kuwa umeenda kwenye vita, umekaa sijui ni Juba huko mwaka mzima ila ulichokuwa unajua kuwa unapigania si hasa wanaokuongoza wanakifahamu. So the fact kwamba ulienda juba na ulikuwepo kwenye uwanja wa vita physically haitoshi kumfanya Amin kuwa mchafu, umetumiwa kama walivyotumiwa wenzako ulioenda nao.
 
Kati ya watu nnaowaheshimu sana ni JK , he was smart na alijua nini anataka na alijua vp akiendee kile anachokitaka. Moja kati ya mambo ambayo namheshimu kwayo ni namba alivyofanikisha kutuaminisha ndivyo sivyo juu ya mapinduzi ya zanzibar. Pili kutuaminisha ndivyo sivyo kuhusu hii case ya Iddi Amin.
Kuhusu mapinduzi ya zanzibar soma hiki kitabu hapo chini
 

Attachments

Hivi kama nikweli hio ilikua tabia yake mbona hivyo vichwa humo kwenye friji ni viwilitu? Na friji yenyewe ni mojatu? Kila unapo ambiwa amini kachinja unaoneshwa friji hiyotu kulikoni? Tangu mwaka 1988 mimi naanza kuchanganya akili sijaona friji nyingine wala vichwa zaidi ya hivyo na havibadiliki ndo hivyo ivyo hata ilo ni mojatu jee hamuoni kua hayo mambo kua yaliandaliwa?
Bosi, kama kachinja wawili tu, kwako sio tatizo?
 
Back
Top Bottom