albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 686
hana mke kaka ila kwa maelezo zaidi maalim anaweza kukujulisha zaidi
Acheni kashfa nimeuliza kistaarabu nijibiwe kistaarabu
Kutokana na siasa majitaka tunazozienyesha ccm tuna wakati mgumu sasa hivi kisiasa hata kijamii,na hii hali ya baadhi ya wajumbe wetu wa ccm ktk znz kutukana hadharani imetupotezea influence kabisa huku znz hasa kauli ya bi asha bakari dhidi ya jussa.
Ninapata wkt mgumu kuamini haya maneno
je ni kweli znz ni ya watu weusi tu?
Dr.salim hana haki znz sababu ni muarabu?
Je ni kweli jussa hana mke?
Naomba tujibu kistaarabu
ccm tubadilikeni
Its none of your business
Kwa taarifa yako Ismail Jussa Ladhu hana mke na wala hana mpango! Ni mliberali mzoefu ..hata zile taarifa za Kigogo serikalini ni shoga zilikua zikimlenga katibu mkuu wa chama chake kwakua naye ni wale wale! Vijana wengi wa Zanzibar wanaelewa tabia ovu ya Jussa na Katibu Mkuu wake!
CC: Gossipcopwarumi na habari zako za Instagram!