warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 Apr 18, 2014 #21 Giti said: kwa mfano ujue kua ana mke itasaidia nini? ama hana inasaidia nini? uliza vitu vya msingi. Click to expand... Sio fresh bhna, hili jukwaa ndio kazi yake hii, tusubir wanaomjua watupe ma news hot of him
Giti said: kwa mfano ujue kua ana mke itasaidia nini? ama hana inasaidia nini? uliza vitu vya msingi. Click to expand... Sio fresh bhna, hili jukwaa ndio kazi yake hii, tusubir wanaomjua watupe ma news hot of him
mwenyenchi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2011 Posts 657 Reaction score 186 Apr 18, 2014 #22 Hana mke ana mume, Mh. Hamad
ITEGAMATWI JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 5,340 Reaction score 4,086 Apr 18, 2014 #23 Kama wewe ni mwanaume kwa swali lako tu hapo ingekuwa UGANDA basi sasa hivi upo gerezani unatumikia kifungo cha miaka 14.
Kama wewe ni mwanaume kwa swali lako tu hapo ingekuwa UGANDA basi sasa hivi upo gerezani unatumikia kifungo cha miaka 14.
albuluushiy JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 1,404 Reaction score 686 Apr 18, 2014 Thread starter #24 tunataka kujua kama je ni kweli aliyosema bi asha bakar?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 18, 2014 #25 mngehoji hili kuhusu zitto kabwe ambaye hajaoa mngeambulia ban
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Apr 18, 2014 #26 Matola said: mngehoji hili kuhusu zitto kabwe ambaye hajaoa mngeambulia ban Click to expand... Kwani ana cheo gani ndani ya JF?
Matola said: mngehoji hili kuhusu zitto kabwe ambaye hajaoa mngeambulia ban Click to expand... Kwani ana cheo gani ndani ya JF?
albuluushiy JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 1,404 Reaction score 686 Apr 18, 2014 Thread starter #27 mm kwa sakata la zitto simo
Daata JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 4,673 Reaction score 1,875 Apr 18, 2014 #28 Kwani kuoa kwake kunahusiana vipi na utendaji kazi wake? Mbona kuna wabunge wengi tu ambao hawajaoa na kuolewa Je utumishi wao unakwamishwa na kutokuoa na kuolewa kwao?
Kwani kuoa kwake kunahusiana vipi na utendaji kazi wake? Mbona kuna wabunge wengi tu ambao hawajaoa na kuolewa Je utumishi wao unakwamishwa na kutokuoa na kuolewa kwao?