Je ni kweli jussa hana mke?

Je ni kweli jussa hana mke?

kwa mfano ujue kua ana mke itasaidia nini? ama hana inasaidia nini? uliza vitu vya msingi.

Sio fresh bhna, hili jukwaa ndio kazi yake hii, tusubir wanaomjua watupe ma news hot of him
 
tunataka kujua kama je ni kweli aliyosema bi asha bakar?
 
Kwani kuoa kwake kunahusiana vipi na utendaji kazi wake?
Mbona kuna wabunge wengi tu ambao hawajaoa na kuolewa
Je utumishi wao unakwamishwa na kutokuoa na kuolewa kwao?
 
Back
Top Bottom