Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
-
- #21
aaahhhhaaaaahh, tupo tayariHaki huu mwaka tumesoma mengi humu,, na afadhali uishe tu..
Japo najua yajayo ndio yatatufurahisha zaidi,, sijui kama tuko tayari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekuja, wameanza kufungukaNgoja wenyeji wa Kanda ya Ziwa wakusaidie.
Dah nikijibu ilikuwa inafanya kazi utataka ushahidi lakini tukiwa wadogo miaka hiyo ya 90 kushuka chini ilikuwa ikifanyika hivyo, na kwa mtoto wa kiume ikifika umri flani ilikuwa unaelekezwa kwenda kuchanjia hayo makitu!Na ilifanya kazi ya kukuza dushelele kweli?
Mkuu naomba nione hata kwa kulipiaFreed Freed Mwambie huyu nesi tuonane nimihakikishie, huo mti kule kwetu unaitwa LISAMWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mkuu ukiuona wa baby, na wa baba mkwe umeuona..Haina uhalisia hiyo. Ukubwa au udogo wa mashine huwa ni wa kurithi toka kwa Baba yako mzazi.
Sawa kabisa. Sampuli zao huwa zinarandana kwa 100%. Kama ulimpenda mumeo kutokana na dushe kubwa, hivyo ukiachika na ukihitaji sampuli mfanano nakushauri ujibebishe kwa Baba Mkwe, au mdogo wa mumeo utagundua kuwa mapigo ni yaleyale.Kwahiyo mkuu ukiuona wa baby, na wa baba mkwe umeuona..
🤣🤣🤣🤣nmecheka kwa nguvuSawa kabisa. Sampuli zao huwa zinarandana kwa 100%. Kama ulimpenda mumeo kutokana na dushe kubwa, hivyo ukiachika na ukihitaji sampuli mfanano nakushauri ujibebishe kwa Baba Mkwe, au mdogo wa mumeo utagundua kuwa mapigo ni yaleyale.
HatariDah nikijibu ilikuwa inafanya kazi utataka ushahidi lakini tukiwa wadogo miaka hiyo ya 90 kushuka chini ilikuwa ikifanyika hivyo, na kwa mtoto wa kiume ikifika umri flani ilikuwa unaelekezwa kwenda kuchanjia hayo makitu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam!!Haki huu mwaka tumesoma mengi humu,, na afadhali uishe tu..
Japo najua yajayo ndio yatatufurahisha zaidi,, sijui kama tuko tayari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Huku kwetu bagamoyo raha.
Wanatumia sana hayo mambo.
Ukienda kule kaole utayaona yananing'inia mtini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa. Sampuli zao huwa zinarandana kwa 100%. Kama ulimpenda mumeo kutokana na dushe kubwa, hivyo ukiachika na ukihitaji sampuli mfanano nakushauri ujibebishe kwa Baba Mkwe, au mdogo wa mumeo utagundua kuwa mapigo ni yaleyale.
wasibhamo bwaksi go?!Freed Freed Mwambie huyu nesi tuonane nimihakikishie, huo mti kule kwetu unaitwa LISAMWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Turashashe kandi Murugo Mtama!