jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Wakuu,
Kumekuwa na member wengi ambao wanaona na kusema kwamba haya ya utekaji, torture na mauwaji, mh Rais hafahamu chochote na wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa kuna hujuma dhidi yake.
Nadhani kuna mambo kadhaa anayoweza kuyafafanya kama ni kweli hafahamu chochote kuhusu yanayoendelea na kwamba anahujumiwa na hao watesi.
Mh Rais alisema atahakikisha uchunguzi unafanyika, na pia alijitolea kumlipia matibabu yule kijana Sativa ambaye aliitekwa na kuumizwa sana. Inaonekana aliponea kifo maana alipigwa risasi ya kichwa.
Kimsingi, kijana alitaja watu ambao ndiyo watakaokuwa incharge kwenye uchunguzi wowote utakaoendelea.
Kipimo kizuri kwa maoni yangu, ni kama atakubali uchunguzi ufanywe na chombo kama Scotland Yard.
Akikubali hilo, basi nitaamini ni kweli hafahamu lolote kuhusu hii operation ya utekaji, mateso na mauwaji, na kweli atakuwa anahujumiwa.
Endapo atakataa, hapo nitaamini kwamba anafahamu yote yanaoendelea na wala hakuna anayemhujumu kama wengi wa wale chawa wake wanavyotaka tuamini.Soma Pia:
Kumekuwa na member wengi ambao wanaona na kusema kwamba haya ya utekaji, torture na mauwaji, mh Rais hafahamu chochote na wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa kuna hujuma dhidi yake.
Nadhani kuna mambo kadhaa anayoweza kuyafafanya kama ni kweli hafahamu chochote kuhusu yanayoendelea na kwamba anahujumiwa na hao watesi.
Mh Rais alisema atahakikisha uchunguzi unafanyika, na pia alijitolea kumlipia matibabu yule kijana Sativa ambaye aliitekwa na kuumizwa sana. Inaonekana aliponea kifo maana alipigwa risasi ya kichwa.
Kimsingi, kijana alitaja watu ambao ndiyo watakaokuwa incharge kwenye uchunguzi wowote utakaoendelea.
Kipimo kizuri kwa maoni yangu, ni kama atakubali uchunguzi ufanywe na chombo kama Scotland Yard.
Akikubali hilo, basi nitaamini ni kweli hafahamu lolote kuhusu hii operation ya utekaji, mateso na mauwaji, na kweli atakuwa anahujumiwa.
Endapo atakataa, hapo nitaamini kwamba anafahamu yote yanaoendelea na wala hakuna anayemhujumu kama wengi wa wale chawa wake wanavyotaka tuamini.Soma Pia: