Je, ni kweli kabisa Rais hafahamu chochote kuhusu haya ya utekeaji? Hiki ni kipimo kizuri

Je, ni kweli kabisa Rais hafahamu chochote kuhusu haya ya utekeaji? Hiki ni kipimo kizuri

Acha kudanganya watu masuala ya usalama wa nchi, usalama wa nchi zetu hizi za kimasikini hadi vyoo vya watoto wa shule kwa msaada wa kina Billgate ndipo useme tuna usalama wankujificha mbele ya wazungu? Ambao kila kitu wanatawala wao, mifumo ya kibenki, internet, satellite n.k


Umeoandika hoja isio na mashiko ndio maana umeshindwa kujibu.
sawa mkuu.
 
huajfikiria vyema unaweza ukawa umewapa mwanya wa kupata taarifa ambazo hawatakiwi kuzipata!.. uhai wa huyohuyo mtanganyika unaweza ukaharibu uhai wa watanganyika!.
Kuna taarifa gan unamficha huyo unaye muogopa!

Mtu anaye kupa angalizo la matukio hatarishi yanayotajaria kutokea kwako hata kabla ya wewe muhusika kujua au kung'amua kihatarishi?

Kwani mnatumia computer gani,mlizo tengeneza au za hao mnao waogopa!

Thamini Uhai wa Mtanzania mwenzako.
 
Wakuu,

Kumekuwa na member wengi ambao wanaona na kusema kwamba haya ya utekaji, torture na mauwaji, mh Rais hafahamu chochote na wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa kuna hukuka dhidi yake.

Nadhani kuna mambo kadhaa anayoweza kuyafafanya kama ni kweli hafahamu chochot kuhusu yanayoendelea na kwamba anahujumiwa na hao watesi.

Mh Rais alisema atahakikisha uchunguzi unafanyika, na pia alijitolea kumlipia matibabu yule kijana Sativa ambaye aliitekwa na kuumizwa sana. Inaonekana aliponea kifo maana alipigwa rızası ya kichwa.

Kimsingi, kijana alitaja watu ambao ndiyo watakaokuwa incharge kwenye uchunguzi wowote utakaoendelea.

Kipimo kizuri kwa maoni yangu, ni kama atakubali uchunguzi ufanywe na chombo kama Scotland Yard.

Akikubali hilo, basi nitaamini ni kweli hahahamu lolote na anahujumiwa.

Endapo atakataa, hapo nitaamini kwamba anafahamu yote yanaoendelea na wala hakuna anayemhujumu kama wengi wa wale chawa wake wanavyotaka tuamini.Soma Pia:
Alikuwa anasema ni drama ,na akasisitiza hizi ni drama ,huenda nae anafanya drama pia
 
Rais ni taasisi kwavile ni taasisi................ tumia akili za kuvikia barabara kujaza hapo
 
Alikuwa anasema ni drama ,na akasisitiza hizi ni drama ,huenda nae anafanya drama pia
Sawa kabisa mkuu. Hata kwenye haya maandamano, lazima awepo upande wa wananchi.

Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakuwa anapenda haya yanayoendelea.

Kama kweli hafahamu haya yanayoendelea, basi NI LAZIMA awe upande wa wananchi.

Wananchi wakiandamana kwa amani bila kupigwa na watuhumiwa, hapo atakuwa yupo upande wa wa wananchi na hata maamuzi atakayoyafanya yataheshimika.

Rais akiwaachia polisi waendeleze mauwaji hata siku ya maandamano, basi yupo miongoni mwao hawa watesi.
 
Back
Top Bottom