Mshangai
JF-Expert Member
- Feb 16, 2008
- 468
- 1,086
NEC watupatie elimu hii sawa sawa. Je, ni kweli kuwa bado nikiwa ndani ya Tanzania lakini nje ya kituo nilichojiandikisha siwezi kupiga kura ya Rais?
Kuhusu ubunge hiyo ni sawa, lakini kura ya Urais inashindikana nini wakati mataifa mengine wameweza hadi kupigia nje ya nchi?
Katika zama hizi za technolojia ya mawasiliano tunawezaje kunyima nafasi Raia ambao kwa sababu moja au nyingine hawapo mahali walipojiandikisha.
Kuhusu ubunge hiyo ni sawa, lakini kura ya Urais inashindikana nini wakati mataifa mengine wameweza hadi kupigia nje ya nchi?
Katika zama hizi za technolojia ya mawasiliano tunawezaje kunyima nafasi Raia ambao kwa sababu moja au nyingine hawapo mahali walipojiandikisha.