Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Kama haupo Ulipojiandikisha hupigi kura hata za Rais?

Bado nitaendelea kusema kwamba NEC Ina 'visheria' fulani vya 'kijima'.

Tangu 1996 hakuna Reformation yoyote juu ya mabadiliko katika mfumo, Ni upuuzi tu na ukada umejaa pale.
 
Ni kweli maisha yenyewe Ni siasa tosha. Ila wengi wenu ni mashabiki tu, na hamna chochote mnachoweza kufanya juu ya uelekeo wa kisiasa nchini. Kwamaana nyingine mnaishi kwenye ndoto za watu. Tokeni huko.
 
Mkuu, Hilo ndo muhimu.

Yaani nashangaa hii nchi sijui ni ya kusadikika, NEC imetumia gharama kubwa kununua vifaa vya ,,'technology' kurahisisha michakato ya upigaji kura lakini Cha ajabu wanaogopa kutumia.
.. na hii Ni kwa sababu wanajua technology haidanganyi maana wameshazoea kuiba kura 'manually' .

Huyu ngumbari Ruttashobolwa anashindwa hata kuchanganua mambo.
 
NEC wanao uwezo wa kuhesabu kura zinazopigwa katika kituo chochote. Chadema ndio wanakataa utaratibu huo usitumike. Kwahiyo usiwalaumu NEC, walaumu Chadema.
Wasingesikilizwa, mngelalamika kuwa kuna uchakachuaji!
Unaweza kuweka uthibitisho hapa wa kuwa CDM ndio wanakataa?

Ni mambo mangapi CDM wanayakataa kwenye muundo wa NEC na namna ya utendaji wake na hayajawahi kurekebishwa?

Tume inaongozwa na sheria japo nyingi hazifuatwi na NEC yenyewe sio maoni ya chama fulani.

Kwa hiyo leo CDM wakisema kura zihesabiwe hadharani NEC watafuata?
 
Dah yaani acha tu, halafu yanakuja mataahira hapa kutetea upumbavu.

Kama huu mfumo wa elimu uliandaliwa kuwapumbaza watu, aliyeuandaa amefanikiwa kwa zaidi ya 100%. Tena wanaotetea huu upuuzi utakuta ni graduate kabisa yani.
 
Sasa utapigaje kura sehemu ambayo hujajuandikisha? Kila kituo kina orodha ya wapiga kura, kwahiyo uwezi piga kura sehemu ambayo hakuna jina lako!

Hii inaondoa mwanya wa ninyi kusema mmeibiwa kura!
Tatizo ni kufanya mambo kijima badala ya kutumia mifumo ya tehama .
 
Unaposema mashabiki tu, unamaanisha nini?

Kwa hiyo ulitaka wote tuwe 'wachezaji'? Yaani wote tuingie bungeni tuwe wabunge ndio uone tunaweza kubadili uelekeo wa siasa? Au ulitaka wote tuwe maraisi ili uone tunabadili uelekeo wa siasa?

Tumia muda kujifunza elimu ya uraia itakusaidia ili ujue wajibu na nafasi yako kwenye SIASA, UCHUMI NA JAMII.

Hivyo vitu vitatu huwezi vitenganisha, vinafanya kazi kwa mahusiano makubwa sana. Wataalamu wanaviita 'SIAMESE TWINS' (Mapacha walioungana).
Ni kweli maisha yenyewe Ni siasa tosha. Ila wengi wenu ni mashabiki tu, na hamna chochote mnachoweza kufanya juu ya uelekeo wa kisiasa nchini. Kwamaana nyingine mnaishi kwenye ndoto za watu. Tokeni huko.
 
Aliekudanganya kuwa wanaoicontrol siasa ni lazima wawe bungeni ni nani?
 
Aliekudanganya kuwa wanaoicontrol siasa ni lazima wawe bungeni ni nani?
Labda wewe ndio umeelewa hivyo, siasa ni jambo mtambuka na hivyo haliwezi kuwa controlled na bunge peke yake, wapo wadau wengine wa siasa mbali na hao wanaofanya active politics ambao ni wengi zaidi.

Wewe umesema sisi 'mashabiki' hatuwezi kubadili uelekeo ndio nikakuuliza ulitaka tuingie wote bungeni au ikulu ndio uone tunabadili uelekeo?

Maana kwenye siasa kuna makundi matatu tu, Vyama, Wagombea na Wananchi/wapiga kura.
 
Naam, hilo ndio lilikuwa swala langu la msingi hapa. Mambo in electronic iweje tufanye utekelezaji manually?
 
Kwa dunia ya sasa nadhani wenye akili zao uko duniani wanatakiwa kuliangalia vizuri hili jambo.Waje na mfumo ambao ikiwa umejiandikisha ukiwa popote utaweza kupiga kura tena ikiwezekana zote.Tatizo libaki kwetu namna yakurekebisha sheria na vikanuni uchwara visivyoendana na kasi ya dunia na teknolojia.
 
Hiyo wala sio sababu yakutolewa kwa mtu mwenye akili timamu.Wakati inajulikana fika kuanzia kwenye tume hadi vyombo vya dola havitoi uhuru sawa wa ushindani kwenye ulingo wa siasa.Madudu yanayofanywa na hivyo vyombo kabla na kipindi cha uchaguzi ili kukibeba chama kilichopo madarakani ni mengi na makubwa zaidi kuliko ata hilo lakujiandikisha na kuhesabu kura.
Sasa utapigaje kura sehemu ambayo hujajuandikisha? Kila kituo kina orodha ya wapiga kura, kwahiyo uwezi piga kura sehemu ambayo hakuna jina lako!

Hii inaondoa mwanya wa ninyi kusema mmeibiwa kura!
 
Hivi mjinga ni nani kati ya mwananchi wakawaida asiyejua kua hawezi kupiga kura popote na msomi aliyepewa madaraka yakuongoza nakuelimisha watu asifanye hivyo na pia asiweke mfumo huru na mzuri utakaomfanya mtu yoyote mahali popote aweze kutimiza haki yake yakupiga kura,kwasababu ni dhahiri anajua watu wanashughuli mbali mbali na toka kipindi cha kuhakiki hadi kipindi cha uchaguzi muda mrefu unakua umepita.Hebu tumia akili zako vizuri wewe.
 
NEC haiwezi kufuata kila kitu kinachosemwa na vyama lakini NEC ni wasikivu, wanajitahidi kadri iwezekanavyo kusikiliza maoni ya wadau. Ndio maana wamesikiliza maoni ya Chadema kuhusu vituo vya kupiga kura.
 
NEC haiwezi kufuata kila kitu kinachosemwa na vyama lakini NEC ni wasikivu, wanajitahidi kadri iwezekanavyo kusikiliza maoni ya wadau. Ndio maana wamesikiliza maoni ya Chadema kuhusu vituo vya kupiga kura.
Acha nikupuuze tu, maana naona unahisi hili jukwaa la vilaza uwalishe mashudu yako.
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ POINT TUPU.

Hizi nondo waweza kutumiwa wanaoonekana ila ni wasiojulikana.
Kuandikisha tunaandikishwa kidijitali, kupiga kura kianalojia.

Kweli BORA kutumia madaftari ya 200, na kuchapisha vitambulisho ka card za Kitchen party.

Everyday is Saturday...............................😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…