Je ni Kweli Kanisa la RC limebadili utaratibu wa mafunzo ya ndoa?

Je ni Kweli Kanisa la RC limebadili utaratibu wa mafunzo ya ndoa?

Mwananchi wa chini

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
227
Reaction score
599
Juzi nimekutana na kijana ambaye ametoa mahari (anataka kufunga ndoa) siku si nyingi akiniambia ametoka kwenye mafunzo ya ndoa katika kanisa la rc.

Cha kushangaza kijana huyu kaniambia kanisa limebadili utaratibu wa mafunzo ya ndoa kuwa kwa sasa ni Mwaka mmoja yaani kila mwezi mnaenda mara mbili na sababu kubwa ni kutokana na kuwa SUALA LA NDOA nyingi kuvunjika huku sababu mojawapo ikiwa ni kuwa wenzi hawa hawajapata muda wa kutosha wa kufahamiana pia kupata mafunzo ya kiroho.

WANA MMU Je hizi sababu zaweza kuwa kweli.?
 
Ukimaliza hayo mafunzo unatunukiwa Cheti?
 
Juzi nimekutana na kijana ambaye ametoa mahari (anataka kufunga ndoa) siku si nyingi akiniambia ametoka kwenye mafunzo ya ndoa katika kanisa la rc.
Cha kushangaza kijana huyu kaniambia kanisa limebadili utaratibu wa mafunzo ya ndoa kuwa kwa sasa ni Mwaka mmoja yaani kila mwezi mnaenda mara mbili na sababu kubwa ni kutokana na kuwa SUALA LA NDOA nyingi kuvunjika huku sababu mojawapo ikiwa ni kuwa wenzi hawa hawajapata muda wa kutosha wa kufahamiana pia kupata mafunzo ya kiroho.

WANA MMU Je hizi sababu zaweza kuwa kweli.?
Jimbo lipi hapa Tanzania wanafanya hivyo maana kila jimbo Katoliki lina utaratibu wake kuhusu haya mafundisho.
 
Ingawa Mimi si mkatoliki Ila nahisi si kweli..Kuna jamaa mmoja majuzi hapa kaoa , Ila Hilo la kusema jamaa amepata mafunzo mwaka mzima napata ukakasi..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom