Je, ni kweli kua Wairan waliungana na waafrika kuwaondoa waarabu Zanzibar kwa kuunda Afro-Shirazi Party (ASP)?

Je, ni kweli kua Wairan waliungana na waafrika kuwaondoa waarabu Zanzibar kwa kuunda Afro-Shirazi Party (ASP)?

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Kwa wasiofahamu washiraz ni jamii ya ya watu huko iran kama kabila hivi.

Achana na washirazi wa hapo unguja na mafia naongelea washiraz original.

Hawa wanaweza kua ni kabila lililokua na mchanganyiko wa wairan hao wa zamani ndipo wakajiita washiraz

Sasa twende basi, unakumbuka chama cha Afro shiraz? Basi maana yake ni Africa + shirazi.

Je hii ni kweli au ni tuhuma nimeikuta mtandao wa twitter mdau akielezea vita ya waarabu na wairan.

Inasemekana Wairan hawakutaka Mwarabu amiliki visiwa hivo au awe na influence
 
Kwa wasiofahamu washiraz ni jamii ya ya watu huko iran kama kabila hivi.

Achana na washirazi wa hapo unguja na mafia naongelea washiraz original.

Hawa wanaweza kua ni kabila lililokua na mchanganyiko wa wairan hao wa zamani ndipo wakajiita washiraz

Sasa twende basi, unakumbuka chama cha Afro shiraz? Basi maana yake ni Africa + shirazi.

Je hii ni kweli au ni tuhuma nimeikuta mtandao wa twitter mdau akielezea vita ya waarabu na wairan.

Inasemekana Wairan hawakutaka Mwarabu amiliki visiwa hivo au awe na influence
Zanzibar kulikuwa na vyama kulingana na rangi.African Association,Shirz Association, Arb Association na Indian Association.Ilipoundwa ZNP baad ya vita ya ng'ombe 1957,Afican Association ikaungana na African Assoc. wakaunda ASP.
 
Zanzibar kulikuwa na vyama kulingana na rangi.African Association,Shirz Association, Arb Association na Indian Association.Ilipoundwa ZNP baad ya vita ya ng'ombe 1957,Afican Association ikaungana na African Assoc. wakaunda ASP.
vita ya ng’ombe ndo ikoje mkuu
 
Kwa wasiofahamu washiraz ni jamii ya ya watu huko iran kama kabila hivi.

Achana na washirazi wa hapo unguja na mafia naongelea washiraz original.

Hawa wanaweza kua ni kabila lililokua na mchanganyiko wa wairan hao wa zamani ndipo wakajiita washiraz

Sasa twende basi, unakumbuka chama cha Afro shiraz? Basi maana yake ni Africa + shirazi.

Je hii ni kweli au ni tuhuma nimeikuta mtandao wa twitter mdau akielezea vita ya waarabu na wairan.

Inasemekana Wairan hawakutaka Mwarabu amiliki visiwa hivo au awe na influence
Washiraz unaowaona hapa east afrika originally ni kutoka Iran na walikuja huku baada ya kutokea vita huko kwao. Na wapo zaid hapo Mombasa
 
Zanzibar kulikuwa na vyama kulingana na rangi.African Association,Shirz Association, Arb Association na Indian Association.Ilipoundwa ZNP baad ya vita ya ng'ombe 1957,Afican Association ikaungana na African Assoc. wakaunda ASP.
Tulia mkuu andika vizuri. Twende sasa tunasubiri
 
Wairan wapo hapa tangu karne ya tisa au kabla,walianzisha dola ya kiislam na bendera yake
Ni kweli na kwao walitoka baada ya kushindwa vita. Niliwah kwenda kwenye kituo cha historia yao wapo hapa tangu 1200 huko kwa niliyosoma na walikuwa wanakuja vikundi vidogo vidogo.
 
Ni kweli na kwao walitoka baada ya kushindwa vita. Niliwah kwenda kwenye kituo cha historia yao wapo hapa tangu 1200 huko kwa niliyosoma na walikuwa wanakuja vikundi vidogo vidogo.
Ni kabla ya hapo,umemuona mshirazi huyo!?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-31-17-26-29-326.jpg
    Screenshot_2024-10-31-17-26-29-326.jpg
    326.2 KB · Views: 8
Wakati wa mapinduzi zbar, waziri mkuu alikua mohammed shamte,mweusi tii,ndiye kiongozi mkuu wa serikali,hapakua na mwarabu wa kumpindua
nchi nzima ilikaliwa na waarabu wengine ndo wanasema kilichowapea hasira
 
Back
Top Bottom