Je, ni kweli kumlaza mtoto upande mmoja huathiri shape ya kichwa?

Je, ni kweli kumlaza mtoto upande mmoja huathiri shape ya kichwa?

XII Tz

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
4,345
Reaction score
7,076
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu, kuna mwana upande mmoja wa kichwa chake slightly umebonyea kuanzia katikati ya kichwa mpaka kwenye komwe.

Je, ni kweli hii husababishwa na kulazwa upande mmoja pindi unapokua bado kichanga? Na je, kuna njia yoyote inayoweza kutumika kurudisha shape ya mwanzo?

NB: Ni katika kutaka kujifunza tu hivyo inaweza kuonekana kama ni uzi usio na mashiko ila mwenye kufahamu pia atatujuza

NAWASILISHA
 
Yes, utakuta upande mmoja kichwa Kipp km basi ila upande mwingine km lidiscover
 
Ni kweli aisee , Mana wakati mchanga kichwa huwa kina stretch, hasa hapa kwenye utosi na kisogoni, fuvu la kichwa linakuwa lipo wazi halijafunga na laini lazima shape ibadilike, hata kichwa kinavyopita kwenye k kinasinyaa kiana
 
Back
Top Bottom