Je ni kweli kuna dawa ya kuzuia VVU visikuathiri ndani ya masaa 72 ya maambukizi?

Je ni kweli kuna dawa ya kuzuia VVU visikuathiri ndani ya masaa 72 ya maambukizi?

Mnhuu siku 10 si ni kabla ya masaa 72 kupita?
Mm nliambiwa hii revivo kaz yake ni kubust immune system yan inaenda kuongeza kinga ya mwili xo kama virus viliingia mwilin vikienda kukutana na hyo Dawa vinafubazwa vinakufa haviwez kuendelea kuzaliana tena
 
Mm nliambiwa hii revivo kaz yake ni kubust immune system yan inaenda kuongeza kinga ya mwili xo kama virus viliingia mwilin vikienda kukutana na hyo Dawa vinafubazwa vinakufa haviwez kuendelea kuzaliana tena
OK kwa maana ya kwamba hata ukipima baada ya kumaliza dozi unakuwa HIV negative ?
 
OK kwa maana ya kwamba hata ukipima baada ya kumaliza dozi unakuwa HIV negative ?
Ndyo kama una iman mm mbona nameza na Nina amin Mungu yupo nlikuwa na mawazo sana kipnd nmejikata ila baada ya kumuomba Mungu nina Aman na kuna roho inanishuhudia kuwa mm ni mzma ctokuwa na maambukz hapa namalzia Dawa tar 12 nikapme
 
Ndyo kama una iman mm mbona nameza na Nina amin Mungu yupo nlikuwa na mawazo sana kipnd nmejikata ila baada ya kumuomba Mungu nina Aman na kuna roho inanishuhudia kuwa mm ni mzma ctokuwa na maambukz hapa namalzia Dawa tar 12 nikapme
Hizi dawa shughuli yake pevu sana kichefuchefu masaa 24 namaliza dozi tarehe 20 mwezi huu, zinanichosha sana
 
Ni baada ya kujichoma na sindano ambayo ina damu ya mtu mwenye HIV, tunaambiwa ukiwahi hospitalini na kupewa dawa kabla ya masaa 72 virus wanasambaratishwa na hupati HIV.

Je ni kweli? Msaada wenu wajuzi.
Yes indeed.
 
Kama haikuwa na damu hapo hamna cha ukimwi wala nn coz virus vinaishi kweny unyevu kama damu ilikauka viruc vimeshakufa na huwa kwanza haviishi nje ya mwili wa binadamu huwa ni sekunde 5 vinakufa
 
Kama haikuwa na damu hapo hamna cha ukimwi wala nn coz virus vinaishi kweny unyevu kama damu ilikauka viruc vimeshakufa na huwa kwanza haviishi nje ya mwili wa binadamu huwa ni sekunde 5 vinakufa
Niliambiwa hivyo ila wakaona wanipe dawa tu Kwa uhakika zaidi
 
Vipi hizo revival capsules hazina karaha ya kichefuchefu na mwili kuuma?
Zinanipa tu uchovu alaf nameza tu coz mdada mwenyew ambaye ni mgonjwa alietumia huo wembe anasema hakujikata nao kpnd anajinyoa na istoshe ukimwi unaambukizwa kwa njia ya mapenz tu hv vifaa wametuambia tu kwa taadhari ili tusishee coz vingekuwa vinaambukiza tungekufa weng we jiulze mtu ananyolewa saloon anakatwa na mashne akmalza ananyolewa mwingne hapo hapo na mashne hyo hyo c wangekuwa karbia dunia nzima tuna ukimwi, mashulen watoto wanashare wembe kuchonga pensel wanajikata so cyo rahc ukimwi had ugusanishe kidonda kwa kidonda
 
Back
Top Bottom