Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Genge lipi ?!!!Yeye mweyewe chief hangaya yumo kwenye magenge hayo ! Anajifaragua tuuu !
Acha kuichafua NYOTA ING'ARAYO....
SIEMPRE JMT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genge lipi ?!!!Yeye mweyewe chief hangaya yumo kwenye magenge hayo ! Anajifaragua tuuu !
Maamuzi gani?Tatizo wanadamu wengi hatupendi ku-take responsibility kwa maamuzi yetu - tunaishia kuwatwika wengine.
Rais alikuwa sahihi.....ni TIMING tu ....Tangu amechukua nafasi ya uongozi baadhi ya Watanzania tuliona mbali tukamshauri kuondoa wale watendaji waliokuwa karibu zaidi na serikali ya mwendazake na kuchagua watu wengine ambao watakuwa wanamtii hasa pale anapotoa maelekezo fulani yafanyike ila mh. Raisi hakuzingatia ushauri huo leo amekuja kujua .
Nani kabambikiwa kesi meku?!!Kuwabambikia watu kesi amejifunza kutoka awamu ya tano asimsingizie mtu, tatizo ni yeye mwenyewe.
Kweli labda alifanya kwa kuondoa lawama licha ya kwamba baadhi yao alikuwa anazijua tabia zao.Rais alikuwa sahihi.....ni TIMING tu ....
Akhsante sana ndugu MkamaP ,umeandika hali halisi.Hakuna uhalisia wowote ni kujaribu kukwepa majukumu yako. Wewe kama ndo kiongozi mkuu wa serikali, Rais, amri jeshi mkuu, mwenyekiti wa CCM taifa unashindwa je kusambaratisha hayo makundi kama unayafaham yapo?
Angejiuliza kwanza yeye mwenyewe, kwa nini inasemwa hivyo juu yake au serikali yake; na sio lazima wanaosema hivyo wawe wapo ndani ya serikali yake au wawe ndani ya genge.
Nadhani mama anajaribu kukwepa ukweli wa mambo hapa, kwa ku'deflect' tatizo kwa wengine.Hakuna uhalisia wowote ni kujaribu kukwepa majukumu yako. Wewe kama ndo kiongozi mkuu wa serikali, Rais, amri jeshi mkuu, mwenyekiti wa CCM taifa unashindwa je kusambaratisha hayo makundi kama unayafaham yapo?