Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa s ndo ukweli huo mkuu au unataka ukweli Gani haya ukweli n huuNaomba kufafanuliwa na nielewe juu ya swala hili. maana wengine wanasema shahada yeye anafika mpaka bar ( mwisho) stashahada anaishia daraja H na astashahada anaishia daraja G? je kuna ukweli hapo?
nashukuru mkuu nilikuwa nataka kupata uhakika thanksSasa s ndo ukweli huo mkuu au unataka ukweli Gani haya ukweli n huu
Certificate anaishia daraja G
Diploma anaishia daraja H
Degree anaishia daraja I ambalo ndo la mwisho
Ishu ni umri wa kustaafu tu mkuu ndo ukomo wako kinyume na hapo utapanda tuuNaomba kufafanuliwa na nielewe juu ya swala hili. maana wengine wanasema shahada yeye anafika mpaka bar ( mwisho) stashahada anaishia daraja H na astashahada anaishia daraja G? je kuna ukweli hapo?
So certificate itafikia hadi I? UongoIshu ni umri wa kustaafu tu mkuu ndo ukomo wako kinyume na hapo utapanda tuu
Kama umri unaruhusu atafika tuSo certificate itafikia hadi I? Uongo
Wew n mtumishi wa serikalini ?Kama umri unaruhusu atafika tu
Ebu imagine degree umeajiriwa una mika 39 mwalimu
Crrtifiate kaajiriwa miaka 19 hivi mpaka afike mika 60 hiyo I unadhani hatofika?
Hapo kigezo ukomo wa kusistaafu tu
Anyway sina evidence kama kuna maafisa utumishi hapa watakuja kutatua kitendawili
Ila kujiendeleza muhimu mkuu,usiridhike kuwa na certificate au diploma tuu
sidhani kama umeelewa mada kiongozi jaribu kupitia toka mwanzo,hatuongelei ukomo wa madaraja in generalWew n mtumishi wa serikalini ?
Na kama n mtumishi hadi leo hujui kuwa madaraja Yana ukomo ikifka I kitakacho fuata n increment tu like I2, I4 au upate chance upelekwe kwenye mataasisi uombewe mshahara special
Ukomo ni kustaafu kwako...
Unaweza fikia mwisho lakini bado ukawa na miaka ya kufundisha .. utapanda tuu
Nina wasiwasi kama katiba ya Kenya umeisoma.
Ishu ni umri wa kustaafu tu mkuu ndo ukomo wako kinyume na hapo utapanda tuu
Ukomo upo ndugu zanguKama umri unaruhusu atafika tu
Ebu imagine degree umeajiriwa una mika 39 mwalimu
Crrtifiate kaajiriwa miaka 19 hivi mpaka afike mika 60 hiyo I unadhani hatofika?
Hapo kigezo ukomo wa kusistaafu tu
Anyway sina evidence kama kuna maafisa utumishi hapa watakuja kutatua kitendawili
Ila kujiendeleza muhimu mkuu,usiridhike kuwa na certificate au diploma tuu
Asante kwa ufafanuzi umeeleweka vyema mkuuUkomo upo ndugu zangu
Hata ufanye kazi miaka 100000 ila
1. Ukiwa na Certificate Utaishia G, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
2. Ukiwa Diploma unaishia H, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
3. Bachelor utaishia I
Ila ukijiongeza ukapata masters na PhD ndio utakuwa mkuu wa idara au unahamishiwa kwengine na kuombewa mshahara maalumu.
#YNWA
hapo nimeelewa saaana .thanksUkomo upo ndugu zangu
Hata ufanye kazi miaka 100000 ila
1. Ukiwa na Certificate Utaishia G, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
2. Ukiwa Diploma unaishia H, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
3. Bachelor utaishia I
Ila ukijiongeza ukapata masters na PhD ndio utakuwa mkuu wa idara au unahamishiwa kwengine na kuombewa mshahara maalumu.
#YNWA
AhsanteUkomo upo ndugu zangu
Hata ufanye kazi miaka 100000 ila
1. Ukiwa na Certificate Utaishia G, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
2. Ukiwa Diploma unaishia H, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
3. Bachelor utaishia I
Ila ukijiongeza ukapata masters na PhD ndio utakuwa mkuu wa idara au unahamishiwa kwengine na kuombewa mshahara maalumu.
#YNWA
Ipo hivi ila watu wabiiishi.Ukomo upo ndugu zangu
Hata ufanye kazi miaka 100000 ila
1. Ukiwa na Certificate Utaishia G, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
2. Ukiwa Diploma unaishia H, na ili kuendelea kupanda LAZIMA UKAONGEZE ELIMU
3. Bachelor utaishia I
Ila ukijiongeza ukapata masters na PhD ndio utakuwa mkuu wa idara au unahamishiwa kwengine na kuombewa mshahara maalumu.
#YNWA
J ni sawa kiasi gan?Ndio iko hivyo, ila kama unafundisha vyuo vya ualimu mwisho ni J.
3,420,000J ni sawa kiasi gan?