Je, ni kweli kuna uwezo wa kiimani (dini) unaoweza kumbadilisha mtu na uraibu wa kitu fulani?

Je, ni kweli kuna uwezo wa kiimani (dini) unaoweza kumbadilisha mtu na uraibu wa kitu fulani?

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,324
Reaction score
5,933
Asalaam, Bwana asifiwe...

Niende kwenye mada inayonichanganya saana hasa kipindi hiki. Nahitaji shughuda wa KWELI kutoka dini zote atakae zungumza ukweli pasipo uoga wa nafsi yake katika imani yake...

Ni hivi je ni kweli kuna uwezo wa kiimani (dini) unaoweza kumbadilisha mtu tabia (addiction) aliyokua nayo ama kumsumbua mda mrefu

Mfano;
1. Mpiga nyeto (CHAPUTA) kufanikiwa kuacha nyeto kwakuombewa ama kujiombea aka pona??? Tujibu uhalisia na si kwa kutetea dini ama imani (realistic)
2. Uasherati; ni kweli uma..la...ya unaweza kuachwa kwakuombewa tuu
3. Ushoga... kuna yale yanayodai yamezaliwa na homoni za kike na wale waliojitakia kwa tamaa zao ama mazingira.
4. Sigara/madawa ya kulevye wengi tunaona mateja mpaka wanakufa.
5. Roho mbaya, choyo, fitina na majungu huyu mtu anaweza akapona kweli haya matatizo??

Hizi ni baadhi ya tabia zinazo trend saana duniani na hasi ziki wakumba wale waliokokoa ama waswahilina wale wenye kuswali saana na kuonekana wanadini kuliko wengine...

Watu hawa hujishudia walikua hivo lakini walipokutana na mungu walibadilika kabisa wakaachana na hayo mambo, wakati wengiwao wamegeuka kufanya hayo wanaotangazs wameacha kwa siri kuubwa wakati mwingi....

Je, hio nguvu (kumbadilisha mtu tabia ya uraimu) wanayoishughudia ipo kweli??
Ni kweli imani (dini) inaweza mtoa mtu kwenye uraibu wa tabia chafu?? Ni nani anaweza hata kujishuhudia alibadilika 100% na hajawahi tena kuifanya ile dhambi yake??? karibu tushare experience
 
Vyote vinawezekana kuacha na pia ni mchakato wa muda

havifanyiki kwa mara moja inahitaji kujitoa kwa huyo muathirika sababu Mungu anaposhughulika na utu wa ndani wa mtu uangalia pia utayari wa moyo wa huyo mtu so inawezekana lakini ni process
Lazima uamue kutoka ndani ya moyo wako sio kwA kushinikizwa na mtu ,

Katika mambo ya kiroho huwa kuna nafasi ya Mungu kufanya na pia huwa kuna nafasi ya mtu kufanya sasa kwa Ishu kama hizo ukionyesha utayari ndipo Mungu anapofanya uponyaji wake
 
Imani na dini ni vitu viwili tofauti, japo imani inaweza kuingia ktk dini, lkn imani ni jambo kubwa zaid ya dini.

Watu wanaposikia tu kuhusu imani basi direct wanawaza kuhusu dini na mafundisho yake, kumbe hata Masomo ya shule na knowledge nzima ya kusimamia kile unachokijua na ulichofundishwa(msimamo) nayo ni imani.

Imani haihusu tu mambo ya kiroho, bali mambo ya kisaikolojia, mtu anapoacha zinaa kisa mafundisho ya dini fulan, anakuwa kaacha sababu ya kuamin kuna adhabu ya kufanya hayo mambo, na si kwa hiari yake (hofu na sii imani).

Lkn pia mtu anapoacha zinaa kwa kuogopa magonjwa anakuwa nae yupo ktk imani ya usalama wa kutunza afya yake kwa kuamini nadharia za kisayansi+knowledge alizopata kwa wakufunzi+kusoma (imani binafsi isiyoegemea hofu ya kuambiwa).

[emoji117][emoji27]Imani ya Dini haina uwezo wa kumfanya mtu aache maovu, bali hofu inayotumiwa kama siraha kwa hao wanadini ndio huwafanya watu wastop kwa muda kufanya maovu hayo kwa kuogopa Adhabu za Huko mnakokuita kuzimu.

Pia dini+imani ya kidini haina uwezo wa kumfanya mtu abadirike, maana tangu dini zije ndio kwanza maovu yameongezeka, mfano unafiki unaongozwa na hao watu wa dini na viongozi wa kidini, uchawi+ushirikina , ushoga+ulawiti, ugaidi+kusapoti agenda za kishenzi kwa miamvuli ya kidini, usaliti na mengineyo mengi ya kutisha yameletwa na hizo imani za kidini.

Huwa nashangaa sana watu wanaposema sijui Yesu na ukristo umeleta wokovu wengine wakisema uislam umeleta amani kumbe uongo mtupu, kabla ya ujio wa hizi dini kulikuwa na Maadili zaidi ya leo, kulikuwa na mshikamano+umoja ktk jamii bila ya ubaguzi wa tofaut za kiimani pia migogoro ya kipumbavu iletwayo na dini haikuwepo lkn je kwanin haya maovu yamekuja baada ya hizo mbanga mnazoita iman+dini kuletwa?

Kiufupi DINI na Imani juu ya mafundisho ya dini zote ndiye Shetan mwenyewe ktk Taswira ya Wema kumbe wema wenye kivuli cha mauti na Maigizo yawapotoshao watu dunian.

Bila dini dunia ingekuwa na ustaarabu mzuri pia umoja na amani.

Dini na imani za kizushi ndio chanzo cha migogoro, pia dini ndio kibebeo cha maovu dunian, leo hii ukitaka kuufadhiri ugaid lazima utumie dini, maana ndiyo yenye power ya kuwafanya watu kuwa mazezeta na kufanya unyama wowote kwa mwanadamu mwenzie kisa tu kuna andiko la namna hiyo ktk kitabu cha imani yake limemuhalalishia kufanya hivyo ni vizuri(imani ya kishenzi),

pia ukitaka kulisapoti jambo la hovyo we tumia dini tu hata agenda za kishenzi watu watazikubali sababu dini imehalalisha.

Hata iyo israel feki ya majambazi hapo middle east kabla ya kutumia maandiko kujihalalishia ujambazi wao hata sisi tunaowaita hao taifa teule hatukuwatambua wala kuwapenda na tuliwajua kama majambazi wa ardhi ya watu, mpaka pale dini zilipotumika kuwasafisha hao majambazi na kuwapa sifa ambazo hawakustahili na kuwahallishia ujambazi wao wa ardhi ya watu kwa kutuaminisha ni ardhi yao waliyopewa na Mungu sijui na imani za kijinga jinga kusapoti huo ushenzi, hatimae leo hii karibia dunia nzima inasapoti uporwaji wa ardhi ya mpalestina kwa visingizio vya imani ya kidini ambayo haiwezi kuthibitisha uhalali wake wala ukweli wake, zaid tu ya kuwalazimsha watu waamini na wasipoamini watachomwa moto wa milele.

Hizo zote ni imani za kijinga na kipumbavu, hivyo nihitimishe kwa kuandika kuwa Dini na imani ya dini ndio chanzo cha maovu dunian, imani hizi zililetwa makusudi kuwagawa, kuwaharibu akili, kuwatawala na kuwatenganisha na ukweli wa Asili.
 
Mengi hapo kama sio yote inawezekana. Co kila kitu huanzia katika ulimwengu wa roho so kinachoombewa ni roho na sio mwili mwilini kunafanyika manifestation ya kile kinachoendelea rohoni.
It's like Computer...kilichopo kwenye Monitor ni kile kinachoendelea kwenye CPU.

👉Kiuhalisia Daudi alikua hana uwezo wa kumpiga Goliath, ila alivyosema "Nakuja kukupiga na Yehova Bwana wa majeshi...Kiroho Goliath alikufa palepale so wakati Daudi anapiga jiwe lile na Goliath kufa daudi alienda kufanya Manifestation ya kilichokua tayari kimetendeka katika ulimwengu wa roho.

Binafsi...Toka najitambua nilikua sili ndizi za kupikwa. Yaani pika unga unavyojua ila sili na nikila basi tumbo litaniuma balaa. Nilikua nachokulia poa tu kwamba ni alergy tu ya ndizi mbichi...But someone alinifanyia huduma ni mwaka wa 4 huu nakula ndizi vizuri tu.
Titizo la kutokula ndizi lilikua kiroho zaidi kuliko kimwili
...
Kamachumu, Kagera.
View attachment 2591542
Nimejisikia kutapika vibaya sana kuona hayo machakula
 
Asalaam, Bwana asifiwe...

Niende kwenye mada inayonichanganya saana hasa kipindi hiki.
Nahitaji shughuda wa KWELI kutoka dini zote atakae zungumza ukweli pasipo uoga wa nafsi yake katika imani yake...

Ni hivi je ni kweli kuna uwezo wa kiimani (dini) unaoweza kumbadilisha mtu tabia (addiction) aliyokua nayo ama kumsumbua mda mrefu
Mfano;
1. Mpiga nyeto (CHAPUTA) kufanikiwa kuacha nyeto kwakuombewa ama kujiombea aka pona??? Tujibu uhalisia na si kwa kutetea dini ama imani (realistic)
2. Uasherati; ni kweli uma..la...ya unaweza kuachwa kwakuombewa tuu
3. Ushoga... kuna yale yanayodai yamezaliwa na homoni za kike na wale waliojitakia kwa tamaa zao ama mazingira.
4. Sigara/madawa ya kulevye wengi tunaona mateja mpaka wanakufa.
5. Roho mbaya, choyo, fitina na majungu huyu mtu anaweza akapona kweli haya matatizo??

Hizi ni baadhi ya tabia zinazo trend saana duniani na hasi ziki wakumba wale waliokokoa ama waswahilina wale wenye kuswali saana na kuonekana wanadini kuliko wengine...
Watu hawa hujishudia walikua hivo lakini walipokutana na mungu walibadilika kabisa wakaachana na hayo mambo, wakati wengiwao wamegeuka kufanya hayo wanaotangazs wameacha kwa siri kuubwa wakati mwingi....

Je hio nguvu (kumbadilisha mtu tabia ya uraimu) wanayoishughudia ipo kweli??
Ni kweli imani (dini) inaweza mtoa mtu kwenye uraibu wa tabia chafu?? Ni nani anaweza hata kujishuhudia alibadilika 100% na hajawahi tena kuifanya ile dhambi yake??? karibu tushare experience

Ni kweli sababu, Kila jambo linalofanyika mwilini linaanzia rohoni
Roho mbaya ukaondolewe na roho safi kama vile giza linavyoondolewa na nuru
 
Asalaam, Bwana asifiwe...

Niende kwenye mada inayonichanganya saana hasa kipindi hiki.
Nahitaji shughuda wa KWELI kutoka dini zote atakae zungumza ukweli pasipo uoga wa nafsi yake katika imani yake...

Ni hivi je ni kweli kuna uwezo wa kiimani (dini) unaoweza kumbadilisha mtu tabia (addiction) aliyokua nayo ama kumsumbua mda mrefu
Mfano;
1. Mpiga nyeto (CHAPUTA) kufanikiwa kuacha nyeto kwakuombewa ama kujiombea aka pona??? Tujibu uhalisia na si kwa kutetea dini ama imani (realistic)
2. Uasherati; ni kweli uma..la...ya unaweza kuachwa kwakuombewa tuu
3. Ushoga... kuna yale yanayodai yamezaliwa na homoni za kike na wale waliojitakia kwa tamaa zao ama mazingira.
4. Sigara/madawa ya kulevye wengi tunaona mateja mpaka wanakufa.
5. Roho mbaya, choyo, fitina na majungu huyu mtu anaweza akapona kweli haya matatizo??

Hizi ni baadhi ya tabia zinazo trend saana duniani na hasi ziki wakumba wale waliokokoa ama waswahilina wale wenye kuswali saana na kuonekana wanadini kuliko wengine...
Watu hawa hujishudia walikua hivo lakini walipokutana na mungu walibadilika kabisa wakaachana na hayo mambo, wakati wengiwao wamegeuka kufanya hayo wanaotangazs wameacha kwa siri kuubwa wakati mwingi....

Je hio nguvu (kumbadilisha mtu tabia ya uraimu) wanayoishughudia ipo kweli??
Ni kweli imani (dini) inaweza mtoa mtu kwenye uraibu wa tabia chafu?? Ni nani anaweza hata kujishuhudia alibadilika 100% na hajawahi tena kuifanya ile dhambi yake??? karibu tushare experience
Inawezekana lakini kwanza tibu moyo wako baada ya akili
 
Vyote vinawezekana kuacha na pia ni mchakato wa muda

havifanyiki kwa mara moja inahitaji kujitoa kwa huyo muathirika sababu Mungu anaposhughulika na utu wa ndani wa mtu uangalia pia utayari wa moyo wa huyo mtu so inawezekana lakini ni process
Lazima uamue kutoka ndani ya moyo wako sio kwA kushinikizwa na mtu ,

Katika mambo ya kiroho huwa kuna nafasi ya Mungu kufanya na pia huwa kuna nafasi ya mtu kufanya sasa kwa Ishu kama hizo ukionyesha utayari ndipo Mungu anapofanya uponyaji wake
Kama ni process kwa hivo tunakubaliana hukuna muujiza unaowezzesha kumbadilisha mtu??
 
Inawezekana lakini kwanza tibu moyo wako baada ya akili
Neno linasema nayawexa mambo yote katika yeye anitia nguvu sasa ili la kuanza na moyo linatoka wapi?? Mbona sauli alibadilika bila idhini yake akawa paulo
 
Ni kweli sababu, Kila jambo linalofanyika mwilini linaanzia rohoni
Roho mbaya ukaondolewe na roho safi kama vile giza linavyoondolewa na nuru
Unawezaje kuilezea hio hali maana ukikutana na watu wenye hizo changamoto watakuambia walijaribu kujitoa kubadilika wakashindwa
 
Dini ina nguvu ya kubadrisha ila mhusika awe amenuia na inatakiwa ajitoe zaid kulingana na kiwango cha uraibu
 
Kwanini ulikuwa unauliza kama unajibu!?
Hayo ni maandiko nimejaribu kuyanukuu.... hoja ni kwamba in our current religion tunafundishwa badiliko la tabia je ni kweli linafanya kazi na je kuna mwenye ushuhuda wa lubadilika huko??? Au imebaki ni nadharia za maandiko???? Kama lile neno la imani ndogo ka punje ya aladari kuamishi milima??
 
Dini ina nguvu ya kubadrisha ila mhusika awe amenuia na inatakiwa ajitoe zaid kulingana na kiwango cha uraibu
Changamoto ni kwamba kwann mchakato wa kubadilika kupitia imani unaenda na mchakato wa kisayans?
 
Imani na dini ni vitu viwili tofauti, japo imani inaweza kuingia ktk dini, lkn imani ni jambo kubwa zaid ya dini.

Watu wanaposikia tu kuhusu imani basi direct wanawaza kuhusu dini na mafundisho yake, kumbe hata Masomo ya shule na knowledge nzima ya kusimamia kile unachokijua na ulichofundishwa(msimamo) nayo ni imani.

Imani haihusu tu mambo ya kiroho, bali mambo ya kisaikolojia, mtu anapoacha zinaa kisa mafundisho ya dini fulan, anakuwa kaacha sababu ya kuamin kuna adhabu ya kufanya hayo mambo, na si kwa hiari yake (hofu na sii imani).

Lkn pia mtu anapoacha zinaa kwa kuogopa magonjwa anakuwa nae yupo ktk imani ya usalama wa kutunza afya yake kwa kuamini nadharia za kisayansi+knowledge alizopata kwa wakufunzi+kusoma (imani binafsi isiyoegemea hofu ya kuambiwa).

[emoji117][emoji27]Imani ya Dini haina uwezo wa kumfanya mtu aache maovu, bali hofu inayotumiwa kama siraha kwa hao wanadini ndio huwafanya watu wastop kwa muda kufanya maovu hayo kwa kuogopa Adhabu za Huko mnakokuita kuzimu.

Pia dini+imani ya kidini haina uwezo wa kumfanya mtu abadirike, maana tangu dini zije ndio kwanza maovu yameongezeka, mfano unafiki unaongozwa na hao watu wa dini na viongozi wa kidini, uchawi+ushirikina , ushoga+ulawiti, ugaidi+kusapoti agenda za kishenzi kwa miamvuli ya kidini, usaliti na mengineyo mengi ya kutisha yameletwa na hizo imani za kidini.

Huwa nashangaa sana watu wanaposema sijui Yesu na ukristo umeleta wokovu wengine wakisema uislam umeleta amani kumbe uongo mtupu, kabla ya ujio wa hizi dini kulikuwa na Maadili zaidi ya leo, kulikuwa na mshikamano+umoja ktk jamii bila ya ubaguzi wa tofaut za kiimani pia migogoro ya kipumbavu iletwayo na dini haikuwepo lkn je kwanin haya maovu yamekuja baada ya hizo mbanga mnazoita iman+dini kuletwa?

Kiufupi DINI na Imani juu ya mafundisho ya dini zote ndiye Shetan mwenyewe ktk Taswira ya Wema kumbe wema wenye kivuli cha mauti na Maigizo yawapotoshao watu dunian.

Bila dini dunia ingekuwa na ustaarabu mzuri pia umoja na amani.

Dini na imani za kizushi ndio chanzo cha migogoro, pia dini ndio kibebeo cha maovu dunian, leo hii ukitaka kuufadhiri ugaid lazima utumie dini, maana ndiyo yenye power ya kuwafanya watu kuwa mazezeta na kufanya unyama wowote kwa mwanadamu mwenzie kisa tu kuna andiko la namna hiyo ktk kitabu cha imani yake limemuhalalishia kufanya hivyo ni vizuri(imani ya kishenzi),

pia ukitaka kulisapoti jambo la hovyo we tumia dini tu hata agenda za kishenzi watu watazikubali sababu dini imehalalisha.

Hata iyo israel feki ya majambazi hapo middle east kabla ya kutumia maandiko kujihalalishia ujambazi wao hata sisi tunaowaita hao taifa teule hatukuwatambua wala kuwapenda na tuliwajua kama majambazi wa ardhi ya watu, mpaka pale dini zilipotumika kuwasafisha hao majambazi na kuwapa sifa ambazo hawakustahili na kuwahallishia ujambazi wao wa ardhi ya watu kwa kutuaminisha ni ardhi yao waliyopewa na Mungu sijui na imani za kijinga jinga kusapoti huo ushenzi, hatimae leo hii karibia dunia nzima inasapoti uporwaji wa ardhi ya mpalestina kwa visingizio vya imani ya kidini ambayo haiwezi kuthibitisha uhalali wake wala ukweli wake, zaid tu ya kuwalazimsha watu waamini na wasipoamini watachomwa moto wa milele.

Hizo zote ni imani za kijinga na kipumbavu, hivyo nihitimishe kwa kuandika kuwa Dini na imani ya dini ndio chanzo cha maovu dunian, imani hizi zililetwa makusudi kuwagawa, kuwaharibu akili, kuwatawala na kuwatenganisha na ukweli wa Asili.
You got all the point mkuu... ila umeniacha kwenye maneno ya mwisho "ukweli wa asili" ni upi huo??
 
Kwanza nikuulize pia unaposema muujiza maana yake ni nini?
Kama ni process kwa hivo tunakubaliana hukuna muujiza unaowezzesha kumbadilisha mtu??
Hapa nilichozungumzia ni vile mtu akimpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wake na akaamwamini Toka ndani ya moyo wake mtu huyu anayo nafasi ya kuweza kushinda Tabia za mwili na

Endapo mtu huyu atakaa mahala akafundishwa Neno la kweli la Mungu na mtu huyu akiwa Tayari kuyaishi yale yote yampendezayo Mungu.,

Hii ni Kanuni ya Mungu
Ukiishi sawasawa na Neno lake yeye atakutakasa Utu wako wa Ndani,so n process yamuda mpaka kufanyika kuwa safi na kuweza kushinda Tabia hizo mbaya.

Na swala la miujiza halipo katika kukuwezesha kuzishinda Tabia Chafu ndani yako ili uweze kushinda hizo Tabia chafu inakutaka uishi kwa kufuata kanuni za Mungu na sio kuishi unavyotaka ukategemea utaweza kushinda Tabia za mwili hapana. hilo ni jukumu langu kutafuta kuishi vile Mungu anataka ili achukue nafasi ndani yako ili akuwezeshe kushinda hyo Vita
 
Back
Top Bottom