Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Makonda hafichi mtu, amesema yeye ana wajibu wakulinda usalama wa watu wa Dar es salaam.
Lets wait and see.
Commander In Chief imekuwaje umekimbia vita na kuonekana unakunywa kahawa mafichoni? Hii kazi ya kuongoza mapambano mbona inaonyesha kukushinda? Unapenda sifa tuu!😇😇😇
 
Ahsante sana ndugu. Hapo umemaliza
 
Kifo kifo hakina huruma....tilitiliii tiliitiilii....

Alisikika mwanamuziki mmoja R.I.P akiimba na guitar lake...

Huyo ahamishwe kinguvu ugonjwa huu hauchagui hadhi sawa tu na kifo.
Walipoziandaa hizo CORONA designated hospitals walijua watakaolazwa ni maskini??
Islaaammaaabaaad....😡

Everyday is Saturday....................... 😎
 
angetandikwa bomu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imethibitika ana corona au haijathibitika? Huu uzi sijauelewa kabisa unataka nini?
Inaelekea akili zimeshukia tumboni. Fanya haraka tafuta sehemu tundika miguu juu kichwa kiwe chini ili akili zirudi sehemu yake, utaelewa uzi unataka nini
Vinginevyo muda si mrefu choo kitakuita ukanye,baada ya hapo hutoelewa chochote maisha mwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayalla ni muhujumu uchumi kwanini una muhusisha waziri na kuumwa corona

Ila sipati picha ya macho ya profeseri na kuumwa haya mafua jicho lake litkuwa nyanya

Sent using Jamii Forums mobile app


Mayalla kaingia kiwoga sisi tunaweka wazi huyo ni hawa Vibaraka wa Dodoma walioko huku Zanzibar , wanaongeza tobo kwenye Jahazi ili lizame haraka pamoja na sisi maana nchi imewashinda. Tembea tembea zao huko Ulaya sasa wametuletea huo ugonjwa hapa Zanzibar . Ni Kibaraka waziri wa Nishati wa Zanzibar Salama Aboud Talib.

Na kuna tetesi kibaraka mwengine waziri wa Elimu wa Zanzibar ameonyesha mild symptoms lakini amekubali kuji isolate mapema
 

Mkuu, mbona tumeambiwa mwenye dhamana ya kutangaza hayo majina ni wale wakuu watatu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kweli kwa level yake alitakiwa kujitenga kabisa. Ila sishangai wanasiasa wana hulka sometimes ya kujifanya ni zaidi ya binaadamu wengine wakati wote tukifa tunazikwa ardhini.
Hawa viongozi wa tanzania wanaupufu fulani, ukiwauliza majina, utajibiwa kwa ukali,wewe hunijui mimi?
Akiwa mstaarabu kidogo, ataanza na neno mheshimiwa waziri...... Mh diwani....... Mh mkuu wa mkoa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chezea Coronavirus mzee baba huyo baruti Chato hana muda wa kuongoza vikao vya baraza la mawaziri lenye wagonjwa wa Corona.

Halafu kufika Chato ndio anajifanya sterling kunywa kahawa mtaani, harudi Dar akafanye zile stunts zake ubungo stand ndio tuone kweli aamini kwenye maswala ya social distancing.

Hila huko wizara ya afya watakuwa wanasema boss kweli wamepata wakati wao wanaimiza wananchi wafanye A, mwenzao bwana mkubwa anafanya B; ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…