Je, ni kweli kunaupungufu wa nguvu za kike?

lalikajr

Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
62
Reaction score
13
Mpenzi wangu kwa sasa amekuwa mvivu sana katika suala la ndoa pia huchoka mapema sana na kuwa hoi baada ya tendo. nmejaribu kuomba ushauri kutoka kwa wataalamu mbalimbali baadhi wakasema kuwa anaweza akawa amepungukiwa nguvu za kike. je hili linaweza kutokea hata kwa mwanamke? msaada wenu tafadhari.
 

duuh hili swali hata mimi nahitaji majibu,hebu ngoja wataalamu watiririke hapa
 
Mke wako Ana umri gani? Kama ni zaidi ya miaka 50, inawezekana ni menopause kwa maana nyingine Ana upungufu wa hormone zinazoitwa estrogen, ameshawahi kufanyiwa operation? au Ana msongo wa mawazo? Vp physical activities? Stress za kazi au matatizo ya kifedha,una mawasiliano mazuri na mkeo? Asa unapokuwa unataka kufanya nae tendo la ndoa! au ukifika tu unataka mzigo bila romance?, hakuna usaliti ktk ndoa Kati yenu? labda umekuwa upigi mzigo vizuri kuna mtu anadandia ambaye ni fundi!, umewahi kucheki Kama Ana magonjwa Kama, kisukari, magonjwa ya moyo au neurological disease? Vp physical image yake? Ni mnene sana! Nafikiri yafanyie kazi hayo utapata jibu, kila la kheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…