JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Japokuwa ni muhimu kunywa maji kwa wingi wakati unaugua ugonjwa wowote unaosababishwa na Virusi, maji hayo hayazuii wewe kupata virusi hivyo. Madai kuwa maji hayo yatazuia virusi kutoka kwenye koo kwenda kwenye mapafu, si kweli
#Coronavirus huambukizwa kwa kupitia maji maji yaliyopo kwenye mfumo wa hewa wakati mtu anapopiga chafya, anapokohoa au unaposhika sehemu yenye maji maji hayo na kujishika uso
Virusi hivi huingia kupitia macho, pua au mdomo hadi kwenye mfumo wa upumuaji ambapo husababisha madhara. Hata kama maji yangesaidia, virusi tayari vingekuwa vimesha ingia na kuleta madhara
#Coronavirus huambukizwa kwa kupitia maji maji yaliyopo kwenye mfumo wa hewa wakati mtu anapopiga chafya, anapokohoa au unaposhika sehemu yenye maji maji hayo na kujishika uso
Virusi hivi huingia kupitia macho, pua au mdomo hadi kwenye mfumo wa upumuaji ambapo husababisha madhara. Hata kama maji yangesaidia, virusi tayari vingekuwa vimesha ingia na kuleta madhara
Upvote
0