Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Tatizo unakuwa kigeugeu kama kahaba, kila siku nakuambia kipimo sahihi cha uchumi duniani kote ni GDP huwa una kaza fuvu kwasababu ya kuipinga Mwanza. GDP ndio kipimo sahihi, na Mwanza inasubiri mgodi wa Nyanzaga tujaribu kuisogolea Dar japo hatuwezi kuifikia.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Tatizo hapa Tanzania ni kwamba Kuna taasisi nyingi sana zinakusanya pesa kiasi kwamba kufanya tracing ni ngumu.

Kingine GDP as it is inasoma Ina gauge Kila kitu Kwa hela hata kile nacho hakijazalisha pesa mfano ujenzi wa Barabara unaofanywa na Serikali au majengo inahesabika kama government spending or investment.
 
Unaijua mbeleko? Hii serikali yetu hasa hii hawana hawana muda na sisi, leo Kagame ameona soko kubwa la maziwa lipo Mwanza na kanda ya ziwa anataka kuweka kiwanda kikubwa cha maziwa Mwanza unasema mbeleko na ingekuwa li serikali lako la hawamu hii sijui ungeitaje, huo ni uwekezaji wa Rwanda ndani ya Mwanza na sio Tanzania, watu wa nje ndio wanawekeza Mwanza kwasababu wanaona mbali na wanachungulia fursa sio hili li nchi lenu, kama wangetaka kujenga kiwanda wangeweka either Pwani au Dar, Dodoma au Arusha huko ndio Tanzania, sisi wanyarwanda achani mashirika ya nchi yaje yawekeze Mwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…